kahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 03:12:12
Man stabbed to death after fight outside Kirinyaga bar
A 28-year-old man was stabbed to death following a fight with another man shortly after leaving a bar at Kiangombe Trading Centre in Kirinyaga County. Police identified the deceased as Derick Muchira Mwangi who had been drinking with his friend, at Club Vegas Bar and Restaurant on Saturday night. According to police, the two men [...] The post Man stabbed to death after fight outside Kirinyaga bar appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 03:14:48
Germany's far-right AfD set for big win in eastern state, just short of majority
Germanys Alternative for Germany (AfD) is heading for a dramatic victory in the eastern state of Saxony-Anhalt, far ahead of its mainstream rivals. Although it is projected to fall short of a majority, the AfD says it has won a mandate to govern. The far-right AfD is on course to win a record 44% of [...] The post Germanys far-right AfD set for big win in eastern state, just short of majority appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 03:17:15
Jamaica to bring slavery reparations petition to King Charles
The Jamaican government will highlight to King Charles a petition over slavery reparations on Monday, the countrys culture minister Olivia Grange has said. It will ask the King, who serves as Jamaicas head of state, to refer three questions to the Judicial Committee of the Privy Council, the countrys highest court, over the legality of [...] The post Jamaica to bring slavery reparations petition to King Charles appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 03:19:41
Five dead after Amazon cargo plane crashes at Miami airport
An Amazon Air cargo plane overshot the runway while attempting to land at Miami International Airport, killing five people and seriously injuring five more. The Boeing 767-300 cargo aircraft crashed just before 14:00 local time (19:00 GMT) after departing from Luis Muñoz Marín International Airport in San Juan, Puerto Rico. The flight also hit several [...] The post Five dead after Amazon cargo plane crashes at Miami airport appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 07 Sep 2026 02:55:30
Mackenzie na wenzake kujua hatima yao mwezi huu
MSHUKIWA wa mauaji ya Shakahola, Paul Mackenzie, na washtakiwa wenzake wanatarajiwa kujua hatima yao mwezi huu katika kesi inayohusu vifo vya watoto 191. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa mwaka mmoja baada ya kesi hiyo kuanza Septemba mwaka uliopita. Mackenzie anakabiliwa na mashtaka hayo pamoja na washtakiwa wengine 30, ambao upande wa mashtaka umedai walihusika sana katika vifo vya watoto hao. Kesi hiyo ilikuwa ya aina yake, huku Biblia, Quran na Katiba zikitajwa kwa kina na upande wa mashtaka pamoja na washtakiwa katika juhudi zao za kutetea misimamo yao. Washtakiwa walitumia aya za Biblia kuhalalisha kukaa kwao msituni na vifo vilivyofuata, huku upande wa mashtaka ukirejelea Biblia kuonyesha kwamba hata wakati wa Yesu Kristo, aina fulani za dawa zilikuwepo za kukabiliana na magonjwa na dharura, na kwamba watu hawakutegemea maombi pekee kwa ajili ya uponyaji. Wakati mmoja, kesi ya mauaji ya Shakahola iligeuka kuwa kama darasa la thiolojia, huku maswali yakiibuliwa kuhusu iwapo wale wanaodaiwa kufunga hadi kufa kwa imani kwamba wangeenda mbinguni na kukutana na Yesu, kwa hakika wako mbinguni. Hata hivyo, hakukuwa na jibu la moja kwa moja, kwani hakuna aliyeweza kusema kwa uhakika ni hatima gani iliyowakuta wale waliokufa njaa. Wakati mwingine, Mackenzie alitaka upande wa mashtaka kuthibitisha kwamba wale anaodaiwa kuwaua kupitia kufunga hawako mbinguni. Upande wa mashtaka ulipuuza maswali hayo na kuyataja kuwa ni masuala ya kithiolojia, ukisisitiza kwamba lengo lake halikuwa kuamua masuala ya imani, bali kuthibitisha vipengele vya uhalifu katika hatia ziliosababisha maafa hayo. Upande wa mashtaka umeomba Mahakama Kuu kuamua Mackenzie ana hatia ya mauaji, ukisema umethibitisha kikamilifu kwamba vifo vilitokea, chanzo chake, jukumu la Mackenzie katika kuvisababisha, pamoja na hali yake ya akili wakati huo. Kulingana na upande wa mashtaka, ushahidi wa kisayansi wa uchunguzi wa miili na vipimo vya baada ya kifo ulithibitisha kuwa njaa ndiyo iliyokuwa sababu kuu ya vifo miongoni mwa waathiriwa wengi. "Ingawa sababu ya kifo cha baadhi ya miili haikuweza kubainishwa kimatibabu kwa sababu ilikuwa imeoza sana au kubaki mifupa pekee, mahakama inaweza kuhitimisha kwamba nao walikufa kwa njaa kutokana na mazingira yaliyozunguka vifo hivyo," alisema Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, Bw Jami Yamina. Ushahidi uliowasilishwa na Serikali ulionyesha kuwa asilimia 48.9 ya miili yote iliyochunguzwa, wakiwemo watu wazima na watoto, walikufa kutokana na njaa, huku sababu ya kifo kwa asilimia 45.9 ikiwa haikubainika. Hata hivyo, washtakiwa wamejitetea kwamba ingawa kesi hiyo kuwa imezungukwa na msiba, imejaa majonzi na hisia nzito, mahakama si jukwaa la maombolezo, bali ni kitengo vha haki, kinachohitaji ushahidi. Kupitia kwa wakili wao Lawrence Obonyo, washtakiwa walisema kutokea kwa kifo pekee, hata kama ni cha kusikitisha kiasi gani, hakumaanishi moja kwa moja kwamba washtakiwa wana hatia. Bw Obonyo aliitaka mahakama isiruhusu uzito wa janga la Shakahola kufunika kile alichokitaja kuwa udhaifu na mapengo katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Upande wa mashtaka uliita mashahidi 120 kuthibitisha kesi yake, huku washtakiwa wakiita mashahidi zaidi ya 21 kujitetea.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Mon, 07 Sep 2026 02:46:22
Heavily Armed Suspected Al-Shabaab Militants Launch Attack in Mandera
The northern parts of Kenya have remained under a security jeopardy due to the perennial attacks from the Al-Shabaab militia, with repeated calls to reopen the Kenya-Somalia Border.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 02:38:34
Father Arrested After Nine-Year-Old Daughter Dies Following Alleged Sexual and Physical Assault in Kibra
A 47-year-old man has been arrested in Kibra, Nairobi, after his nine-year-old daughter died following an alleged sexual assault and brutal physical attack. The suspect, identified as Norman Swahili, is in police custody as detectives investigate the circumstances surrounding the death of the child. According to the Directorate of Criminal Investigations (DCI), the incident occurred [...] The post Father Arrested After Nine-Year-Old Daughter Dies Following Alleged Sexual and Physical Assault in Kibra appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 01:55:53
How to Improve Child Memory Naturally
Learning how to improve child memory naturally can help children develop better learning, concentration and recall skills. Memory develops as children grow, and everyday habits such as getting enough sleep, eating nutritious foods, staying physically active and engaging in learning activities can support healthy brain development. There is no single food or supplement that can [...] The post How to Improve Child Memory Naturally appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 01:59:56
How to Improve Child Concentration
Learning how to improve child concentration can help children perform better at school, complete tasks more effectively and develop stronger learning habits. Children can sometimes struggle to focus because of tiredness, hunger, distractions, stress, boredom or an unsuitable learning environment. Parents and caregivers can support better concentration by creating healthy routines, providing nutritious meals, encouraging [...] The post How to Improve Child Concentration appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 02:04:40
How to Import Contacts from Gmail to iPhone
If your contacts are saved in Gmail or Google Contacts, you can easily access them on your iPhone without entering each contact manually. Learning how to import contacts from Gmail to iPhone is useful when changing phones, moving from Android to iPhone, or simply wanting to keep your Google contacts available on your Apple device. [...] The post How to Import Contacts from Gmail to iPhone appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 02:09:22
How to Improve English Speaking Skills by Yourself
Learning how to improve English speaking skills by yourself is possible even if you do not have a teacher, language partner or English-speaking friend available every day. The key is to practise speaking aloud consistently instead of only reading books or watching English videos. Regular speaking practice can help you improve pronunciation, vocabulary, sentence formation, [...] The post How to Improve English Speaking Skills by Yourself appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 07 Sep 2026 02:12:57
How to Improve Communication Skills
Learning how to improve communication skills can help you build stronger relationships, perform better at work and express your thoughts with greater confidence. Good communication is not only about speaking clearly. It also involves listening carefully, understanding other peoples perspectives, asking useful questions and responding appropriately. Communication skills can be improved through regular practice and [...] The post How to Improve Communication Skills appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 07 Sep 2026 01:55:03
Ofisi 3 zinazohusishwa na Rais Ruto zafyonza Sh100 bilioni-ripoti
OFISI tatu zinazohusishwa na Rais William Ruto zilitumia Sh33 bilioni katika mwaka uliokamilika Juni 2026, kiwango cha juu zaidi kuwahi kutumiwa na ofisi za maafisa wakuu wa Serikali, kwa mujibu wa ripoti mpya ya Wizara ya Fedha. Matumizi hayo ya ofisi za Rais William Ruto, Naibu Rais Kithure Kindiki na Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi yanafanya jumla ya fedha zilizotumiwa na ofisi hizo tangu Kenya Kwanza iingie madarakani mwaka 2022 kufikia Sh100.23 bilioni. Kwa miaka minne, matumizi ya urais yamezidi Sh89.9 bilioni zilizotumiwa na mtangulizi wake, Uhuru Kenyatta, katika miaka 10 ya uongozi. Ripoti ya Wizara ya Fedha kuhusu hali ya uchumi na bajeti ya mwaka wa kifedha 2025/26 inaonyesha Ikulu ilitumia Sh18.4 bilioni. Katika miezi mitatu ya mwisho ya mwaka huo, Aprili hadi Juni 2026, Ikulu ilitumia Sh6.8 bilioni. Hii ni sawa na wastani wa Sh570 milioni kwa wiki au Sh81.3 milioni kila siku. Katika kipindi hicho, Rais Ruto aliandaa shughuli mbalimbali katika Ikulu, huku maelfu ya watu wakifika katika hafla kadhaa. Miongoni mwa waliomtembelea Ikulu ni wanachama wa Maendeleo ya Wanawake mnamo Aprili 1, 2026, pamoja na viongozi wa mashinani kutoka kaunti mbalimbali. Mnamo Mei 11, Ikulu pia iliandaa karamu ya kitaifa kwa wajumbe wa Mkutano wa Africa Forward. Ikulu imekuwa ikitumia kiasi kikubwa cha fedha tangu Rais Ruto aingie madarakani. Kati ya Julai 2022 na Juni 2026, ilitumia jumla ya Sh43 bilioni, sawa na asilimia 43 ya zaidi ya Sh100 bilioni zilizotumiwa na ofisi zilizo chini ya Urais. Katika robo ya kwanza ya mwaka wa kifedha 2025/26, Ikulu ilitumia Sh4.56 bilioni. Kiasi hicho kilishuka hadi Sh3.17 bilioni katika robo ya pili, kabla ya kupanda hadi Sh3.85 bilioni katika robo iliyomalizika Machi 2026. Katika robo ya mwisho, matumizi yalipanda kwa karibu theluthi mbili hadi Sh6.83 bilioni. Kati ya Sh18.4 bilioni zilizotumiwa na Ikulu katika mwaka huo, Sh17.12 bilioni zilitumika katika shughuli za kawaida. Fedha hizo ziligharamia mishahara ya wafanyakazi, mafuta ya magari ya viongozi, marupurupu na tiketi za ndege za maafisa wanaosafiri ndani na nje ya nchi, pamoja na chakula cha wageni. Kwa mwaka huu wa kifedha, Ikulu imetengewa takriban Sh13.5 bilioni, ingawa kiasi hicho kinaweza kubadilika wakati wa marekebisho ya bajeti. Ofisi ya Rais ilifuata Ikulu kwa matumizi ya Sh8 bilioni. Kati ya kiasi hicho, Sh6.68 bilioni zilitumika katika shughuli za kawaida. Hii ni wastani wa Sh667.75 milioni kila mwezi au karibu Sh22 milioni kila siku. Ofisi ya Naibu Rais Kindiki ilitumia Sh5.2 bilioni, huku Sh100 milioni pekee zikitumika kwa shughuli za maendeleo. Kwa upande wake, Ofisi ya Mudavadi ilitumia Sh602 milioni, zote zikiwa za shughuli za kawaida. Idara ya Serikali ya Masuala ya Bunge ilitumia Sh433 milioni, huku Idara ya Serikali ya Masuala ya Baraza la Mawaziri ikitumia Sh226 milioni. Kwa jumla, matumizi ya ikulu, Ofisi ya Rais, Ofisi ya Naibu Rais na Ofisi ya Mkuu wa Mawaziri yalifikia asilimia 98 ya Sh32.9 bilioni zilizotumiwa na Urais. Mwaka wa kifedha 2024/25, Urais ulitumia Sh21 bilioni, chini ya Sh22.8 bilioni zilizotumiwa mwaka uliotangulia na Sh23.3 bilioni zilizotumika katika mwaka wa kwanza wa serikali ya Rais Ruto, 2022/23. Msemaji wa Ikulu Hussein Mohamed alisema matumizi yote yaliidhinishwa na wabunge. Alisema ofisi zilizo chini ya urais hazitekelezi miradi moja kwa moja, bali zinahusika zaidi na sera, uratibu na kusaidia utekelezaji wa majukumu ya Rais na Naibu Rais.
read moreRight Column Content