kahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:50:32
'Anti-ICE' Army veteran sets fire outside Manhattan federal building, say officials
A former US Army soldier has been arrested after igniting a fire in front of a federal building in New York City, says the FBI. Andrew Arrabaca, 43, allegedly shot a pellet gun and set off fireworks on Monday morning at 26 Federal Plaza, where the FBI, Immigration and Customs Enforcement (ICE), and US Citizenship [...] The post Anti-ICE Army veteran sets fire outside Manhattan federal building, say officials appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:53:47
Tate brothers appear in US court for extradition proceedings
Controversial influencer Andrew Tate and his brother Tristan have appeared in a federal courtroom in Miami, marking the beginning of extradition proceedings to the UK over a slate of new charges that includes rape and sex trafficking. Speaking outside the court after the hearing, a lawyer for the brothers said they would fight extradition. The [...] The post Tate brothers appear in US court for extradition proceedings appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 21:55:13
Wahuni wa wakubwa? Hakuna aliyekamatwa kwa ghasia Ol Kalou licha ya ufichuzi
ZAIDI ya siku nne baada ya ghasia zilizoshuhidiwa katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou, hakuna mwanasiasa, mfadhili au mmiliki wa magari yanayodaiwa kutumiwa na watu wenye silaha walioficha nyuso zao ambaye amekamatwa au kuhojiwa. Hali hii imezua maswali kuhusu iwapo wanasiasa wanaochochea vurugu wako juu ya sheria licha ya visa vya uhuni kushuhudiwa peupe. Siku ya uchaguzi, Julai 16, maelfu ya wapigakura walikumbana na kundi la wanaume waliovalia barakoa waliokuwa wakizunguka kwa magari ya kifahari, wakifyatua risasi hewani, kurusha vitoza machozi na kuwashambulia wapigakura, wanahabari na hata baadhi ya maafisa wa polisi. Uchunguzi uliofichua yaliyotokea unaonyesha magari hayo yalikuwa na nambari za usajili zinazozua utata. Miongoni mwao ni Toyota Land Cruiser yenye nambari KDL 477Q, ambayo rekodi za Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) zinaonyesha imesajiliwa kwa jina la John Njuguna Wanjiku, jina ambalo ni sawa na la Mbunge wa Kiambaa anayejulikana kama Ka-Wanjiku. Mbunge huyo alikiri kuwa gari lake lilikuwa Ol Kalou lakini akakanusha kuhusika katika vurugu zozote za uchaguzi. Aidha, gari jingine lililotumiwa na watu hao lilikuwa na nambari KDW 600Q, ilhali rekodi za NTSA zinaonyesha nambari hiyo imesajiliwa kwa gari aina ya Toyota Probox linalomilikiwa na kampuni ya Vipingo Industries. Kampuni hiyo ilisema haina Land Cruiser nyeusi, hali inayoashiria matumizi ya nambari bandia. Licha ya ushahidi huo na video zilizosambaa zikionyesha vurugu, polisi walikuwa bado hawajawahoji wamiliki wa magari hayo wala watu waliorekodiwa wakihusishwa na utoaji rushwa na makosa mengine ya uchaguzi. Uchunguzi wa Idara ya Upelelezi nchini (DCI) pia unaonekana kukwama. Kikosi maalumu kutoka makao makuu ya DCI Nairobi kilikuwa bado hakijaanza kazi rasmi huku kikisubiri malalamishi yaandikwe na waathiriwa. Duru kutoka DCI zilisema wachunguzi wanahitaji kwanza kupata taarifa zilizonakiliwa katika vituo vya polisi kabla ya kuwaita walalamishi kutoa ushahidi. Maafisa hao pia wanatarajiwa kuchunguza maandalizi ya kiusalama yaliyowekwa kabla ya uchaguzi huo mdogo. Kabla ya upigaji kura, Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja alikuwa ametangaza kuwa zaidi ya maafisa 1,000 walikuwa wametumwa Ol Kalou kuimarisha usalama. Wachunguzi wanatarajiwa kukagua taarifa za kijasusi, picha za kamera za CCTV na mienendo ya magari yaliyonaswa kwenye kamera yakizunguka eneo hilo ili kubaini waliohusika. Kampeni za uchaguzi huo mdogo pia ziligubikwa na ghasia huku upinzani na serikali wakirushiana lawama. Mnamo Julai 12, lori la kampeni la mgombea wa DCP lilivamiwa na kuchomwa moto katika eneo la Chokereria na watu waliokuwa na silaha. Mkazi wa Ol Kalou, John Kuria, alisema yeye ni mmoja wa walionusurika katika kisa hicho. "Walikuwa wamejihami kwa bunduki na waliturushia vitoza machozi kabla ya kutushambulia. Tunataka waliohusika wakamatwe na kufikishwa mahakamani," akasema Bw Kuria. Siku moja kabla ya uchaguzi, gari la Mbunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega pia lilivamiwa, huku polisi wakipata risasi iliyotumika katika eneo la tukio. Wanahabari nao hawakusazwa. Katika kituo cha kupiga kura cha Shule ya Msingi ya AC, watu sita waliokuwa wamevaa barakoa waliwashambulia wanahabari wa kampuni ya Nation Media Group (NMG) na kuwaibia vifaa vya kazi. Mpigapicha wa NTV, George Kieru alipokonywa kamera na kupigwa, huku mwandishi Fabiola Akinyi akinyang'anywa simu kwa kutishiwa bunduki. "Walifika kwa magari ya kifahari, wakaanza kutushambulia na kulazimisha George kufuta picha kabla ya kumpora kamera," alisema Mhariri wa NMG Kanda ya Kusini mwa Bonde la Ufa Brygettes Ngana. Bw Kieru alisema alipigwa hadi kujeruhiwa mkono na mgongo, huku Bi Akinyi akieleza kuwa alielekezewa bunduki tumboni kabla ya kuporwa simu yake. Mpiga picha wa gazeti la Star Enos Teche pia alivamiwa na kuibiwa kamera alipokuwa akirekodi ghasia karibu na Shule ya Msingi ya St Joseph's Catholic. Mkurugenzi wa DCI, Amin Mohamed alisema uchunguzi utawalenga waliotekeleza uvamizi na waliopanga, kufadhili na kuchochea vurugu hizo. Kwa upande wake, Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen amesema hakuna atakayesazwa iwapo atapatikana na hatia, iwe ni mwanasiasa, afisa wa usalama au mtumishi wa serikali. Hata hivyo, viongozi wa dini, asasi za kiraia, vyombo vya habari na wanasiasa wa upinzani wanasema hatua hizo zitakuwa na maana tu ikiwa waliohusika watafikishwa mahakamani. Kiongozi wa DP Justin Muturi alionya kuwa vurugu za Ol Kalou zinaweka msingi hatari kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Licha ya mazingira hayo ya hofu na vitisho, mgombea wa DCP Sammy Kamau alishinda uchaguzi huo kwa kura 35,440, akimshinda mgombea wa UDA Samuel Nyagah, aliyepata kura 5,450. Sasa macho yote yanaelekezwa kwa DCI kuona kama uchunguzi huo utawagusa waliohusika kupanga na kufadhili ghasia hizo au utaishia kwa wavamizi wa kawaida pekee.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:42:25
Trump slaps 50% tariffs on Canada and Carney vows to 'intensify' trade talks
US President Donald Trump imposed a 50% tariff on a wide range of goods imported from Canada, in retaliation for what he called unequal treatment of US cars, dairy and alcohol. Everyday consumer items like wine and hockey sticks and industrial goods such as cement are among the goods targeted. However, several key exports will [...] The post Trump slaps 50% tariffs on Canada and Carney vows to intensify trade talks appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 19:06:43
Jubilee urges leaders to protect Kenya's economy amid political differences
The Jubilee Party urged political leaders to exercise restraint in their public statements, warning that calls discouraging tourism and foreign investment could harm millions of Kenyans whose livelihoods depend on the country's economy. In a statement issued on Monday, Secretary General Moitalel Ole Kenta said the party had noted recent remarks urging international tourists and [...] The post Jubilee urges leaders to protect Kenya's economy amid political differences appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 16:47:02
Notorious drug cartel leader Ismael Zambada sentenced to life in US prison
One of the most notorious figures in Mexicos drug cartels, Ismael El Mayo Zambada, will spend the rest of his life in prison, a US judge ruled has ruled, two years after Zambada was lured to the US in an elaborate sting operation. The 76-year-old, who founded the violent Sinaloa Cartel with Joaquin El Chapo [...] The post Notorious drug cartel leader Ismael Zambada sentenced to life in US prison appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 16:57:42
Rare identical quadruplets born in Australia
An Australian woman has given birth to rare, naturally-conceived identical quadruplets after a pregnancy described as extremely high risk by the Royal Brisbane and Womens Hospital. The four girls, who were delivered via caesarean section at 28 weeks and four days on 14 July, were monozygotic quadruplets where a single fertilised egg splits into [...] The post Rare identical quadruplets born in Australia appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 17:02:38
Man, 28, charged with murder of Ann Widdecombe
A 28-year-old man has been charged with the murder of Ann Widdecombe, police and prosecutors have said. Joshua Kerry, from Rotherham in South Yorkshire, is set to appear at Westminster Magistrates Court on Tuesday. Counter Terrorism Policing said determining the motivation, including any possible political motivation remains an active avenue of investigation. Kerry was initially [...] The post Man, 28, charged with murder of Ann Widdecombe appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 17:06:36
Key takeaways as Andy Burnham becomes PM
Andy Burnham replaced Sir Keir Starmer as UK prime minister, after becoming Labour leader last week. The former mayor of Greater Manchester becomes the countrys fourth prime minister in five years and the seventh since 2016. Burnham says rough sleeping and the cost of living are priorities In his first speech in Downing Street, Burnham [...] The post Key takeaways as Andy Burnham becomes PM appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 16:43:49
Police officer kills partner, turns gun on himself in Kirinyaga murder-suicide
A police officer fatally shot his partner before turning the gun on himself in a tragic murder-suicide at staff quarters within Karoti Girls Secondary School in Mwea East, Kirinyaga County. According to police, the incident was reported at about 11:45 a.m. on Monday in Kimbimbi Sub-Location, Nyangati Location. Police officers visited the residence where they [...] The post Police officer kills partner, turns gun on himself in Kirinyaga murder-suicide appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 14:40:20
Afrika yatakiwa kuwekeza zaidi kwenye ubunifu wa kilimo
AFRIKA inapaswa kuendelea kuwekeza katika ubunifu wa kilimo na kuharakisha matumizi ya teknolojia zilizothibitishwa ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa chakula, kupunguza uagizaji wa vyakula kutoka nje na kujenga mifumo imara ya chakula inayostahimili athari za mabadiliko ya tabianchi. Wito huo ulitolewa wakati wa mkutano wa Harvesting the Future Africa Summit uliofanyika Nairobi mwezi Juni mwaka huu, 2026, ambapo viongozi wa serikali, taasisi za utafiti, sekta binafsi, mashirika ya maendeleo na wafadhili walisisitiza umuhimu wa kupeleka teknolojia zilizofanikiwa kwa wakulima wengi badala ya kusalia katika hatua ya utafiti. Mkutano huo uliandaliwa na Kituo cha Kimataifa cha Uboreshaji wa Mahindi na Ngano (CIMMYT) pamoja na washirika wake wakati ambapo sekta ya kilimo barani Afrika inakabiliwa na ukame wa muda mrefu, gharama za juu za uzalishaji, changamoto za upatikanaji wa mbolea, migogoro na kuyumba kwa uchumi. Mkurugenzi Mkuu wa CIMMYT, Bram Govaerts, alisema lengo ni kuhakikisha ubunifu wa kilimo unachangia usalama wa chakula, ajira na ukuaji wa uchumi. "Teknolojia zilizofanikiwa zinapaswa kuwafikia wakulima wengi na kwa haraka zaidi," akasema. [caption id="attachment_190349" align="aligncenter" width="300"] Mtambo wa kuosha maparachichi kwenye kiwanda. Picha|Sammy Waweru[/caption] Naye Dkt Agnes Kalibata, mwanachama wa Bodi ya CIMMYT, alisema Afrika tayari ina mifano mingi inayoonyesha jinsi sayansi inavyoweza kuongeza uzalishaji wa kilimo, lakini wadau wanahitaji kupewa raslimali za kutosha ili kufanikisha juhudi hizo. "Kinachohitajika zaidi ni raslimali kuonyesha sayansi na teknolojia zinafanya kazi," Agnes akapendekeza. Washiriki wa mkutano huo wa Harvesting the Future Africa Summit walitaja mbegu bora, mbinu za kilimo himilivu kwa tabianchi, teknolojia za kuboresha afya ya udongo, huduma za ushauri wa kidijitali na mifumo bora ya mbegu kuwa miongoni mwa ubunifu unaowasaidia wakulima kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi huku wakiongeza mavuno na mapato. Aidha, walieleza kuwa kuimarisha sekta ya kilimo kutasaidia kuzalisha ajira, kupunguza utegemezi wa uagizaji wa chakula na kukuza uchumi wa nchi za Afrika. Ripoti ya hivi majuzi ya uchambuzi wa mifumo ya chakula inaonyesha Kenya inakabiliwa na upungufu wa mayai bilioni tano, lita bilioni 6.5 hadi 7.5 za maziwa, tani 340,000 za samaki na tani 5,500 za asali kila mwaka. [caption id="attachment_190350" align="aligncenter" width="300"] Avokado kwenye kiwanda. Picha|Sammy Waweru[/caption] Ripoti hiyo iliyofadhiliwa na Financial Sector Deepening Kenya (FSD Kenya) chini ya mradi wa Green Finance for Youth Employment (GFYE) na kutolewa Mei 2026, inadokeza kuwa Kenya hutumia kati ya Sh288 bilioni na Sh500 bilioni kuagiza chakula kutoka nje kila mwaka. CIMMYT inasisitiza kuwa ushirikiano kati ya serikali, taasisi za utafiti, kampuni za mbegu, mashirika ya wakulima na washirika wa maendeleo ni muhimu ili kuhakikisha teknolojia zinazobuniwa zinawafikia wakulima na kuongeza uzalishaji wa chakula barani Afrika.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 13:46:00
Teknolojia nafuu ziwafikie wakulima
WABUNIFU wa teknolojia za kilimo na mabadiliko ya tabianchi wamehimizwa kuibuka na bunifu faafu, rahisi kutumia na endelevu zinazokidhi mahitaji ya wakulima wa mashamba madogo. Wakulima wa mashamba madogo wanakadiriwa huzalisha zaidi ya asilimia 75 ya chakula nchini Kenya. Mkurugenzi Mkuu wa KickStart International, Peter Juma, anasema wakulima hawakubali teknolojia kwa sababu ni mpya, bali kwa kuwa zinatatua changamoto halisi, zinapatikana kwa gharama nafuu na huwaletea faida. "Teknolojia hukubalika ikiwa ni nafuu – kifedha, inatatua tatizo halisi na inajilipa yenyewe," alisema. Alisema hayo majuzi wakati wa kongamano la Kenya Editors Guild (KEG) Press Club jijini Nairobi, lililowaleta pamoja wanahabari wa kilimo, wahariri, watafiti, wabunifu, watunga sera, wakulima na wadau wengine kujadili namna ya kujenga kilimo kinachostahimili athari za mabadiliko ya tabianchi. [caption id="attachment_190344" align="aligncenter" width="300"] Apu ya kuuza chakula na bidhaa za shambani. Picha|Sammy Waweru[/caption] Juma alisema licha ya juhudi za kuhimiza matumizi ya teknolojia za kidijitali katika kilimo, wakulima wengi bado wanahitaji teknolojia rahisi kutumia, kutunza na kumudu. "Teknolojia zinapaswa pia kuzingatia mahitaji ya wanawake kwa kuwa nyepesi na zinazobebeka kwa urahisi," alielezea. Alitaja pampu za maji zinazotumia nishati ya jua na mashine za kilimo kuwa miongoni mwa teknolojia ambazo bado ni ghali kwa wakulima wengi. Kwa mfano, alisema pampu za maji huuzwa kati ya Sh40,000 na Sh200,000, hali inayozifanya zisifikie wakulima wengi wa mashamba madogo. Juma aliwataka wabunifu kuzingatia uwezo wa wakulima kifedha, ili teknolojia wanazobuni ziweze kuwasaidia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Washiriki wa kongamano la Kenya Editors Guild (KEG) Press Club walikubaliana kuwa Kenya haina upungufu wa utafiti, kukosa takwimu za tabianchi wala suluhisho za kilimo. [caption id="attachment_190345" align="aligncenter" width="300"] Maji yaliyopampiwa. Pampu za maji zinazotumia nishati ya jua na mashine za kilimo zinatajwa kuwa miongoni mwa teknolojia ambazo bado ni ghali kwa wakulima wengi. Picha|Sammy Waweru[/caption] Changamoto kubwa, walitaja ni kuhakikisha maarifa hayo yanageuzwa kuwa hatua zinazotekelezeka na zinazoweza kutumiwa kwa urahisi na wakulima. Mwanachama wa Baraza Kuu la Kenya Editors Guild, Agnes Mwangangi, alisema wanahabari wana jukumu kueleza simulizi za athari na suluhisho za mabadiliko ya tabianchi, kuwawajibisha viongozi na kusaidia wananchi kuelewa masuala hayo. "Vijana, kwa mfano, wanaongoza katika ubunifu wa teknolojia za kilimo na ujuzi wao wa kidijitali unapaswa kutumiwa kuimarisha usalama wa chakula na kupunguza njaa nchini," Agnes alihimiza.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Mon, 20 Jul 2026 00:15:24
How Much Spain Will Earn After Winning the 2026 FIFA World Cup
FIFA expanded the tournament's total prize fund to about Ksh112.58 billion (USD871 million), the largest in World Cup history, following the expansion of the competition to 48 teams.
read moreRight Column Content