kahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:46:40
Man killed after visiting lover in Kisii village
Police in Kisii County launched investigations into the murder of a man who was allegedly assaulted while visiting his lover in Kisii South Sub-County. The deceased, identified as James Manyega Onchoka, reportedly left his home in Gesero on Sunday night to visit a woman at Nyagwekoa Village. According to police, the victim's family received a [...] The post Man killed after visiting lover in Kisii village appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:50:22
From brooms to goons: How Kisii's ambitious Green Army Programme sparked fear among residents
When Kisii Governor Simba Arati launched the Green Army programme a fortnight ago in Nyamarambe, South Mugirango, it was billed as an ambitious initiative to clean up the municipality, create jobs for unemployed youth and restore civic pride. Equipped with brooms, wheelbarrows and distinctive green uniforms, the recruits quickly became a familiar presence across Kisii [...] The post From brooms to goons: How Kisii's ambitious Green Army Programme sparked fear among residents appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:53:53
How to Buy WhatsApp Bundle on Vodacom
Vodacom offers dedicated WhatsApp Bundles that allow customers to send messages, make voice and video calls, share photos, videos, documents, and other media through WhatsApp without using their regular data bundle. These bundles are available to prepaid, top-up, and contract customers in various sizes and validity periods. You can purchase them through USSD, the VodaPay [...] The post How to Buy WhatsApp Bundle on Vodacom appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:56:49
How to Calculate Amount Before VAT
When the price of a product or service already includes Value Added Tax (VAT), you may need to determine the original price before the tax was added. This is useful for accounting, invoicing, budgeting, and business reporting. To calculate the amount before VAT, you need to know the applicable VAT rate and apply the correct [...] The post How to Calculate Amount Before VAT appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 23:55:17
Tangazo la Sifuna kuwa atwania urais latikisa ODM na Upinzani
TANGAZO la Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kuwa atawania urais mnamo 2027 linaendelea kubadili mwelekeo wa siasa za upinzani na ODM, huku viongozi wengi wakianza kujiunga na mrengo wa Linda Mwananchi anaouongoza. Akizungumza katika mikutano ya kisiasa Kaunti ya Taita Taveta mwishoni mwa wiki, Bw Sifuna alisema licha ya kupokonywa nyadhifa za ukatibu mkuu wa ODM na kiranja wa wachache, anaamini vijana watampa nafasi ya kuwa rais 2027. "Wameninyang'anya kila cheo nilichopewa na Baba, lakini vijana wanasema watanipa cheo cha H.E," akasema. Miongoni mwa viongozi ambao wamebadili msimamo ni Seneta wa Kisii Richard Onyonka, ambaye awali alikuwa mshirika wa karibu wa aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiang'i. Bw Onyonka ameonekana mara kadhaa katika mikutano ya Linda Mwananchi na hadharani ameahidi kumuunga mkono Bw Sifuna ikiwa atawania urais. "Mdogo wangu na rais ajaye ni Edwin Sifuna. Ukifika wakati wa kupiga kura nitampigia kura. Nawaona wengine wanatetereka nikisema hivyo lakini sote katika upinzani tuko pamoja," akasema akiwa Voi. Bw Onyonka alikuwa mmoja wa viongozi waliokuwa mstari wa mbele kumpigia debe Dkt Matiang'i alipozindua azma yake ya urais mnamo 2025. Hata hivyo, hakuhudhuria ziara ya Dkt Matiang'i huko Keumbu, ambako wafuasi wa Linda Mwananchi walivamiwa. Viongozi wengine wa Gusii wanaohusishwa na mrengo huo ni wabunge Clive Gisairo, Anthony Kibagendi na Obadiah Barongo. Ndani ya ODM, mbunge wa Suba Kaskazini Millie Odhiambo na Seneta wa Homa Bay Moses Kajwang' walitumia matokeo ya uchaguzi mdogo wa Ol Kalou kuikosoa serikali, wakisema viongozi wanapaswa kuwasikiza wananchi na kuheshimu maamuzi yao badala ya kutumia vitisho au rushwa. Kauli zao zimezua hisia kwamba wanaegemea upande wa Linda Mwananchi, ingawa hawajatangaza rasmi msimamo wao. Wakati huo huo, Gavana wa Murang'a Irungu Kang'ata alikosolewa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa kumuunga mkono mgombea wa Linda Mwananchi katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Mchanganuzi wa masuala ya siasa Martin Andati anasema hatua hiyo ilionyesha kuwa siasa za eneo la Mlima Kenya zinaendelea kubadilika, huku viongozi wakitafuta miungano mipya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Shinikizo pia zinaongezeka kwa kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, huku baadhi ya wabunge wa Ukambani wakihusishwa na shughuli za Linda Mwananchi. Duru hata hivyo zinaashiria kuwa lengo la wabunge hao ni kuhakikisha Mabw Kalonzo na Sifuna wanashirikiana katika uchaguzi wa 2027. Miongoni mwa wabunge wa Wiper wanaohusishwa na mrengo huo ni Joshua Kimilu, Patrick Makau na Danson Mwashako. Katika Magharibi mwa Kenya, Gavana wa Trans Nzoia George Natembeya anaendelea kushirikiana na Linda Mwananchi na anapanga mikutano ya kisiasa Trans Nzoia na Bungoma. Ni katika mikutano hiyo ambapo Bw Sifuna anatarajiwa kutawazwa kuwa kigogo wa siasa za Magharibi na kupewa baraka za kuwania urais.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 22:51:57
Adam Neumann Net Worth
Adam Neumann is an Israeli-American entrepreneur with an estimated net worth of $1.5 billion. He is best known as the co-founder and former CEO of WeWork, the co-working company that became one of the worlds most valuable startups before suffering a dramatic collapse. At its peak, WeWork was valued at $47 billion, making Neumann one [...] The post Adam Neumann Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:03:22
Shania Twain Net Worth
Shania Twain is a Canadian singer-songwriter with an estimated net worth of $400 million. Often called the Queen of Country Pop, Twain is one of the best-selling music artists in history, having sold more than 100 million records worldwide. Her wealth comes from record sales, sold-out world tours, songwriting royalties, Las Vegas residencies, endorsements, and [...] The post Shania Twain Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:12:12
Mutt Lange Net Worth
Mutt Lange is a Zambian-born British record producer and songwriter with an estimated net worth of $225 million. Widely regarded as one of the most successful music producers in history, Lange has helped create some of the best-selling albums ever recorded. His work with artists including AC/DC, Def Leppard, Bryan Adams, Shania Twain, Maroon 5, [...] The post Mutt Lange Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:18:54
Rick Allen Net Worth
Rick Allen is an English drummer with an estimated net worth of $50 million. Best known as the longtime drummer for the legendary rock band Def Leppard, Allen has enjoyed a career spanning more than four decades. Despite losing his left arm in a devastating car accident in 1984, he returned to the stage using [...] The post Rick Allen Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 22:55:50
Ruto arejea nyumbani kujitetea, anuia kurejesha ufuasi unaodaiwa kudidimia
RAIS William Ruto anatarajiwa kuzuru eneo la Kusini mwa Bonde la Ufa wiki ijayo huku kukiwa na malalamishi yanayoongezeka kutoka kwa wakazi wanaodai serikali yake imepuuza eneo hilo licha ya kuwa ngome yake kuu ya kisiasa. Kwa miaka mingi, kaunti za Bomet, Kericho pamoja na sehemu za Narok na Nakuru zimekuwa ngome ya Rais Ruto. Hata hivyo, miaka minne baada ya kuingia mamlakani, baadhi ya wakazi na viongozi wa mashinani wanasema ahadi nyingi za maendeleo hazijatekelezwa, huku miradi mikubwa ikipelekwa katika maeneo yaliyounga mkono upinzani. Malalamishi hayo yalijitokeza wazi baada ya viongozi kutoka Kusini mwa Bonde la Ufa kumtembelea aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua nyumbani kwake Wamunyoro, Nyeri, wakidai jamii ya Kipsigis imetengwa kimaendeleo, ajira na uteuzi wa nyadhifa serikalini. Bw Gachagua alitabiri kuwa Rais Ruto angelazimika kuzuru eneo hilo kutuliza hali, jambo ambalo sasa limethibitishwa na Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen na Kiongozi wa Wengi katika Seneti Aaron Cheruiyot. Bw Murkomen alisema rais atazindua na kukagua miradi ya barabara, maji na nyumba za gharama nafuu, huku akisisitiza kuwa madai ya kutengwa kwa eneo hilo hayana msingi. "Rais atafika Kusini mwa Bonde la Ufa kuzindua miradi ya maendeleo ikiwemo barabara, maji na nyumba za gharama nafuu. Sote tujitokeze kumpokea," akasema Bw Murkomen katika Shule ya Upili ya Tenwek. "Kumekuwa na malalamishi kutoka kwa watu ambao hawaelewi miradi ambayo serikali imetekeleza eneo hili. Serikali imefanya mengi na itaendelea kufanya mengi siku zinazokuja," akaongeza. Bw Cheruiyot pia alisema ziara hiyo itaonyesha miradi iliyofadhiliwa na serikali na kuzima madai kuwa Kusini mwa Bonde la Ufa imepuuzwa. "Wiki chache zijazo, Ras atakuwa hapa kuzindua miradi ya maendeleo na kuzima madai kuwa eneo hili limetengwa," akasema Bw Cheruiyot katika hafla ya umma Bomet. Hata hivyo, wakazi wengi wanasema hali halisi ni tofauti. Wanalalamikia kucheleweshwa kwa miradi muhimu kama Bwawa la Bosto, fidia na makazi ya zaidi ya familia 21,000 zilizoondolewa katika Msitu wa Mau, pamoja na barabara kadhaa ambazo zimekwama kwa miaka licha ya ahadi za serikali. Barabara ambazo zimetajwa ni pamoja na Chebole–Siongiroi–Chebunyo, Silibwet–Kiptagich–Olenguruone na Sotik–Cheplanget–Roret, ambazo wakazi wanasema ziko katika hali mbaya. Pia kuna malalamishi kuhusu kusimama kwa ujenzi wa Uwanja wa Riadha ya Bomet, pamoja na kucheleweshwa kwa upanuzi wa viwanja vya ndege vya Kerenga na Itembe. Mzozo wa ardhi wa Angata Barikoi nao umeongeza hasira za wakazi. Baadhi yao wanadai kuna njama za kuwanyang'anya ardhi waliyoimiliki kwa muda mrefu, huku wakilaumu serikali kwa kutumia polisi badala ya kutafuta suluhu. Mzozo huo ulivuta hisia za kitaifa baada ya watu sita kuuawa wakati wa maandamano. Ukosefu wa ajira pia ni chanzo kingine cha malalamishi. Vijana wanadai nafasi za kazi katika taasisi za serikali sasa zinauzwa ilhali hawana maelfu ya pesa zinazoitishwa. Hivi majuzi watu wanne walifikishwa mahakamani Bomet wakituhumiwa kuuza barua bandia za ajira za Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC). Bw Gachagua ameendelea kutumia hali hiyo kuishutumu serikali, akidai jamii ya Kipsigis imewekwa kando licha ya kumuunga mkono Rais Ruto kwa dhati mnamo 2022. Ziara ya rais katika South Rift inatarajiwa kuwa mtihani muhimu wa kisiasa huku akijaribu kurejesha imani ya ngome yake ya kisiasa.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 22:22:55
Safaricom CFO Esther Waititu to Exit Company at End of July
Safaricom has announced that its Chief Financial Services Officer, Esther Waititu, will leave the company on 31 July 2026 to pursue other opportunities, ending a three-year stint during which she oversaw the rapid evolution of M-PESA into a broader digital financial services ecosystem. In an internal communication to employees, Group CEO Peter Ndegwa credited Waititu [...] The post Safaricom CFO Esther Waititu to Exit Company at End of July appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 22:34:41
Jack Welch Net Worth
Jack Welch was an American business executive who had an estimated net worth of $650 million at the time of his death in 2020. Best known for leading General Electric (GE) for two decades, Welch transformed the company into one of the worlds most valuable corporations. During his tenure as chairman and CEO, GEs market [...] The post Jack Welch Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 22:43:08
Jeffrey Immelt Net Worth
Jeffrey Immelt is an American business executive with an estimated net worth of $150 million. Immelt is best known for serving as the chairman and chief executive officer of General Electric (GE) from 2001 to 2017. He succeeded legendary CEO Jack Welch and led the company through one of the most challenging periods in its [...] The post Jeffrey Immelt Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:47:08
US launches fresh strikes on Iran, as Trump warns of retaliation for deaths of soldiers
The US military said it launched another round of strikes against Iran to further degrade its capabilities to attack ships in the Strait of Hormuz. The strikes the 10th consecutive night of attacks come after US President Donald Trump vowed to punish Iran for the deaths of US soldiers, two of whom have [...] The post US launches fresh strikes on Iran, as Trump warns of retaliation for deaths of soldiers appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:50:32
'Anti-ICE' Army veteran sets fire outside Manhattan federal building, say officials
A former US Army soldier has been arrested after igniting a fire in front of a federal building in New York City, says the FBI. Andrew Arrabaca, 43, allegedly shot a pellet gun and set off fireworks on Monday morning at 26 Federal Plaza, where the FBI, Immigration and Customs Enforcement (ICE), and US Citizenship [...] The post Anti-ICE Army veteran sets fire outside Manhattan federal building, say officials appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:53:47
Tate brothers appear in US court for extradition proceedings
Controversial influencer Andrew Tate and his brother Tristan have appeared in a federal courtroom in Miami, marking the beginning of extradition proceedings to the UK over a slate of new charges that includes rape and sex trafficking. Speaking outside the court after the hearing, a lawyer for the brothers said they would fight extradition. The [...] The post Tate brothers appear in US court for extradition proceedings appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 21:55:13
Wahuni wa wakubwa? Hakuna aliyekamatwa kwa ghasia Ol Kalou licha ya ufichuzi
ZAIDI ya siku nne baada ya ghasia zilizoshuhidiwa katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou, hakuna mwanasiasa, mfadhili au mmiliki wa magari yanayodaiwa kutumiwa na watu wenye silaha walioficha nyuso zao ambaye amekamatwa au kuhojiwa. Hali hii imezua maswali kuhusu iwapo wanasiasa wanaochochea vurugu wako juu ya sheria licha ya visa vya uhuni kushuhudiwa peupe. Siku ya uchaguzi, Julai 16, maelfu ya wapigakura walikumbana na kundi la wanaume waliovalia barakoa waliokuwa wakizunguka kwa magari ya kifahari, wakifyatua risasi hewani, kurusha vitoza machozi na kuwashambulia wapigakura, wanahabari na hata baadhi ya maafisa wa polisi. Uchunguzi uliofichua yaliyotokea unaonyesha magari hayo yalikuwa na nambari za usajili zinazozua utata. Miongoni mwao ni Toyota Land Cruiser yenye nambari KDL 477Q, ambayo rekodi za Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) zinaonyesha imesajiliwa kwa jina la John Njuguna Wanjiku, jina ambalo ni sawa na la Mbunge wa Kiambaa anayejulikana kama Ka-Wanjiku. Mbunge huyo alikiri kuwa gari lake lilikuwa Ol Kalou lakini akakanusha kuhusika katika vurugu zozote za uchaguzi. Aidha, gari jingine lililotumiwa na watu hao lilikuwa na nambari KDW 600Q, ilhali rekodi za NTSA zinaonyesha nambari hiyo imesajiliwa kwa gari aina ya Toyota Probox linalomilikiwa na kampuni ya Vipingo Industries. Kampuni hiyo ilisema haina Land Cruiser nyeusi, hali inayoashiria matumizi ya nambari bandia. Licha ya ushahidi huo na video zilizosambaa zikionyesha vurugu, polisi walikuwa bado hawajawahoji wamiliki wa magari hayo wala watu waliorekodiwa wakihusishwa na utoaji rushwa na makosa mengine ya uchaguzi. Uchunguzi wa Idara ya Upelelezi nchini (DCI) pia unaonekana kukwama. Kikosi maalumu kutoka makao makuu ya DCI Nairobi kilikuwa bado hakijaanza kazi rasmi huku kikisubiri malalamishi yaandikwe na waathiriwa. Duru kutoka DCI zilisema wachunguzi wanahitaji kwanza kupata taarifa zilizonakiliwa katika vituo vya polisi kabla ya kuwaita walalamishi kutoa ushahidi. Maafisa hao pia wanatarajiwa kuchunguza maandalizi ya kiusalama yaliyowekwa kabla ya uchaguzi huo mdogo. Kabla ya upigaji kura, Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja alikuwa ametangaza kuwa zaidi ya maafisa 1,000 walikuwa wametumwa Ol Kalou kuimarisha usalama. Wachunguzi wanatarajiwa kukagua taarifa za kijasusi, picha za kamera za CCTV na mienendo ya magari yaliyonaswa kwenye kamera yakizunguka eneo hilo ili kubaini waliohusika. Kampeni za uchaguzi huo mdogo pia ziligubikwa na ghasia huku upinzani na serikali wakirushiana lawama. Mnamo Julai 12, lori la kampeni la mgombea wa DCP lilivamiwa na kuchomwa moto katika eneo la Chokereria na watu waliokuwa na silaha. Mkazi wa Ol Kalou, John Kuria, alisema yeye ni mmoja wa walionusurika katika kisa hicho. "Walikuwa wamejihami kwa bunduki na waliturushia vitoza machozi kabla ya kutushambulia. Tunataka waliohusika wakamatwe na kufikishwa mahakamani," akasema Bw Kuria. Siku moja kabla ya uchaguzi, gari la Mbunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega pia lilivamiwa, huku polisi wakipata risasi iliyotumika katika eneo la tukio. Wanahabari nao hawakusazwa. Katika kituo cha kupiga kura cha Shule ya Msingi ya AC, watu sita waliokuwa wamevaa barakoa waliwashambulia wanahabari wa kampuni ya Nation Media Group (NMG) na kuwaibia vifaa vya kazi. Mpigapicha wa NTV, George Kieru alipokonywa kamera na kupigwa, huku mwandishi Fabiola Akinyi akinyang'anywa simu kwa kutishiwa bunduki. "Walifika kwa magari ya kifahari, wakaanza kutushambulia na kulazimisha George kufuta picha kabla ya kumpora kamera," alisema Mhariri wa NMG Kanda ya Kusini mwa Bonde la Ufa Brygettes Ngana. Bw Kieru alisema alipigwa hadi kujeruhiwa mkono na mgongo, huku Bi Akinyi akieleza kuwa alielekezewa bunduki tumboni kabla ya kuporwa simu yake. Mpiga picha wa gazeti la Star Enos Teche pia alivamiwa na kuibiwa kamera alipokuwa akirekodi ghasia karibu na Shule ya Msingi ya St Joseph's Catholic. Mkurugenzi wa DCI, Amin Mohamed alisema uchunguzi utawalenga waliotekeleza uvamizi na waliopanga, kufadhili na kuchochea vurugu hizo. Kwa upande wake, Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen amesema hakuna atakayesazwa iwapo atapatikana na hatia, iwe ni mwanasiasa, afisa wa usalama au mtumishi wa serikali. Hata hivyo, viongozi wa dini, asasi za kiraia, vyombo vya habari na wanasiasa wa upinzani wanasema hatua hizo zitakuwa na maana tu ikiwa waliohusika watafikishwa mahakamani. Kiongozi wa DP Justin Muturi alionya kuwa vurugu za Ol Kalou zinaweka msingi hatari kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Licha ya mazingira hayo ya hofu na vitisho, mgombea wa DCP Sammy Kamau alishinda uchaguzi huo kwa kura 35,440, akimshinda mgombea wa UDA Samuel Nyagah, aliyepata kura 5,450. Sasa macho yote yanaelekezwa kwa DCI kuona kama uchunguzi huo utawagusa waliohusika kupanga na kufadhili ghasia hizo au utaishia kwa wavamizi wa kawaida pekee.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:42:25
Trump slaps 50% tariffs on Canada and Carney vows to 'intensify' trade talks
US President Donald Trump imposed a 50% tariff on a wide range of goods imported from Canada, in retaliation for what he called unequal treatment of US cars, dairy and alcohol. Everyday consumer items like wine and hockey sticks and industrial goods such as cement are among the goods targeted. However, several key exports will [...] The post Trump slaps 50% tariffs on Canada and Carney vows to intensify trade talks appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content