kahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 18 Jul 2026 17:58:52
German politician resigns over surrogacy child controversy
German centre-right politician Jens Spahn has resigned as parliamentary group leader of the countrys governing coalition after being accused of hypocrisy over his use of a surrogate mother in the US to have a child. Surrogacy is prohibited in Germany a policy backed by his Christian Democrat party (CDU) and, several years ago, by [...] The post German politician resigns over surrogacy child controversy appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 18 Jul 2026 18:09:01
Hungary's president agrees to stand down after parliament backs removal
Hungarian President Tamás Sulyok has agreed to step down, signing an amendment to the countrys constitution which will end his presidency at midnight on Sunday. Prime Minister Péter Magyars Tisza party had used its majority to steamroll the law change through parliament to oust Sulyok widely seen as a loyalist of former prime minister [...] The post Hungarys president agrees to stand down after parliament backs removal appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 18 Jul 2026 18:13:13
Missing Naivasha man found murdered, body hidden in pumice cave
Police in Naivasha are investigating the murder of a 58-year-old man whose body was discovered three days after he was reported missing. The deceased, Joseph Mwangi Njuguna, had been reported missing on July 15, 2026, at Longonot Police Post. His body was found on Saturday concealed inside pumice harvesting caves at Ereri Village following a [...] The post Missing Naivasha man found murdered, body hidden in pumice cave appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Sat, 18 Jul 2026 12:00:23
AI yatarajiwa kubadili kilimo COMESA ikihamasisha huduma za nyanjani za kidijitali kwa wakulima
AKILI Mnemba (AI) inazidi kujitokeza kama teknolojia itakayobadilisha sekta ya kilimo barani Afrika huku Soko la Pamoja la Eneo la Mashariki na Kusini mwa Afrika (COMESA) likiendesha juhudi za kuunganisha sera za kidijitali ili kusaidia wakulima kuongeza uzalishaji, kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi na kupata huduma za nyanjani kwa urahisi. Akizungumza jijini Nairobi wakati wa mafunzo ya uhamasishaji kuhusu matumizi ya AI na teknolojia zinazoibuka, Afisa wa Mawasiliano wa Sekretarieti ya COMESA, Leonard Chitunda, alisema AI tayari inaleta mageuzi katika kilimo kupitia utoaji wa taarifa muhimu kwa wakati ufaao. Afisa huyo alisema teknolojia hiyo inasaidia wakulima kupata utabiri wa hali ya hewa, taarifa za afya ya udongo, pembejeo zinazofaa, pamoja na mwenendo wa masoko ili kufanya maamuzi bora. "AI ni teknolojia inayogusa sekta nyingi. Inaongeza uzalishaji wa kilimo, inaboresha ufuatiliaji wa tabianchi na kuongeza ufanisi katika huduma mbalimbali," alisema Chitunda. COMESA inatekeleza mpango wa Inclusive Digitalisation for Eastern and Southern Africa unaofadhiliwa na Benki ya Dunia wenye thamani ya Dola 2.5 bilioni (Ksh323.7 bilioni). Kati ya fedha hizo, Dola 10 milioni (Ksh1.3 bilioni) zimetengwa kwa COMESA kuandaa sera za pamoja, viwango na kujenga uwezo wa AI na mageuzi ya kidijitali. [caption id="attachment_190224" align="aligncenter" width="300"] Afisa wa Mawasiliano wa Sekretarieti ya COMESA, Leonard Chitunda. Picha|Sammy Waweru[/caption] Kiwango kikubwa cha fedha hizo kitaelekezwa kwa nchi wanachama kuboresha miundombinu ya kidijitali na huduma za intaneti ili wakulima, hasa wa maeneo ya vijijini, waweze kupata huduma za kilimo mtandaoni. Chitunda alisema AI inasaidia kuziba pengo lililosababishwa na upungufu wa maafisa wa nyanjani kwa kuwawezesha wakulima kupata ushauri wa kitaalamu kupitia simu na majukwaa ya kidijitali. "Wakulima wanaweza kupata ushauri kuhusu mbegu bora, matumizi ya pembejeo, hali ya hewa na mifugo inayofaa kwa maeneo yao bila kumwona afisa wa nyanjani ana kwa ana," alisema. Aliongeza kuwa COMESA inaendesha utafiti wa kikanda kubaini maeneo yatakayofaidika zaidi na AI, matokeo ambayo yatatumika kuandaa mkakati wa pamoja wa matumizi ya teknolojia hiyo. Mkurugenzi wa ICT katika Idara ya Serikali ya Biashara nchini Kenya, Timothy Were, alisema AI tayari inatumika katika sekta mbalimbali ikiwemo benki, afya, usafirishaji na sasa kilimo. [caption id="attachment_190223" align="aligncenter" width="300"] Mkurugenzi wa ICT katika Idara ya Serikali ya Biashara nchini Kenya, Timothy Were. Picha|Sammy Waweru[/caption] "AI inasaidia wakulima kupata taarifa za masoko, utabiri wa hali ya hewa, tahadhari za milipuko ya wadudu na magonjwa, pamoja na ushauri wa kitaalamu unaowasaidia kupunguza hasara na kuongeza uzalishaji," alielezea. Hata hivyo, Were alisisitiza umuhimu wa kuwepo kwa sheria na sera zinazofanana katika nchi za COMESA ili kuhakikisha usalama wa mifumo ya kidijitali na kuzuia uhalifu wa mtandaoni. Wadau wanaamini kuwa utekelezaji wa mkakati wa AI wa COMESA utaifanya teknolojia hiyo kuwa nguzo muhimu ya mageuzi katika kilimo, kwa kuboresha upatikanaji wa taarifa, kuimarisha huduma za nyanjani na kusaidia wakulima kuhimili changamoto za tabianchi huku wakifikia masoko kwa urahisi zaidi.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Sat, 18 Jul 2026 10:33:00
Why public servants have less than a month to update pension records
Government has directed all public servants to update their records with the Public Service Superannuation Fund by August 14, 2026, in the latest step towards modernising pension administration.
read moreRight Column Content