taifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Thu, 09 Jul 2026 08:35:33
Trump aapa kuipiga Iran mpaka isalimu amri
WASHINGTON, Amerika: JESHI la Amerika limesema lilianzisha uvamizi dhidi ya Iran ili kuhakikisha Mkondo-bahari wa Hormuz unafunguliwa kwa usafirishaji wa mafuta na bidhaa nyingine muhimu duniani. Hatua hiyo imesababisha Iran nayo kulipiza kisasi kwa kushambulia kambi za kijeshi za Amerika nchini Kuwait na Bahrain. Vita kati ya mataifa hayo mawili vimechipuka upya huku mazungumzo ya kusitisha vita kati yao yakionekana kutozaa matunda yoyote hivi karibuni. Amerika ilishambulia Iran baada ya nchi hiyo kushambulia meli za kusafirisha mizigo. Rais wa Amerika, Donald Trump tayari amesema kuwa mazungumzo ya kusaka amani na Iran yamekufa na sasa ni wakati wa kurejelea vita. "Wanajeshi wa Amerika wameanza kuendeleza mashambulizi zaidi dhidi ya Iran ili kuwalemaza wasiwe na nguvu tena ya kuzuia usafirishaji wa mafuta na mali kwenye Mlango-bahari wa Hormuz," akasema Kamanda wa jeshi la Amerika katika Ukanda wa Mashariki maarufu kama CENTOM kupitia X. "Amerika inalaumu Iran kwa kushambulia meli ambazo zilikuwa zikipitia mkondo wa Hormuz na kuhatarisha maisha ya manahodha wake," ikaongeza. Mashambulizi ya Amerika yalivuruga miji mingi Kusini mwa Pwani ya Iran huku baadhi ikikosa umeme. Iran nayo ilijibu kwa kushambulia Kuwait na Bahrain ambazo zina makao ya wanajeshi wa Amerika. Wizara ya Ulinzi ya Kuwait ilisema kuwa ilikuwa ikitungua droni na makombora kutoka Iran lakini Qatar nayo ilitoa onyo la kiusalama. Afisa mmoja wa usalama wa Amerika alisema kuwa mashambulizi dhidi ya Iran yataongezeka na kuonya kuwa mara hii wanalenga kulemaza taifa hilo kabisa kijeshi.
read morekenyanews.go.ke
@kna Thu, 09 Jul 2026 08:13:40
Government unveils new mining bills to strengthen governance, safety and value addition
The government has unveiled a raft of proposed bills, policies and regulations aimed at streamlining Kenyas mining sector by strengthening governance, improving occupational safety and health standards, modernising explosives management and promoting mineral beneficiation and value addition. The proposed legal and policy framework comprises the Draft Minerals, Mining and Beneficiation Policy, the Mine Health, Safety...
read morekenyanews.go.ke
@kna Thu, 09 Jul 2026 08:15:31
Conservationists call for protection of existing forests
Environmental conservation groups have accused the government of undermining its ambitious tree-growing agenda by allowing the continued destruction of existing forests and public green spaces for development projects Speaking during a joint press briefing in Nairobi, Prof. Karanja Njoroge, Board Chair of Friends of Karura Forest, who delivered the keynote address, said Kenya could not...
read morekenyanews.go.ke
@kna Thu, 09 Jul 2026 08:20:06
How Vihiga youth are transforming agribusiness
For many years, agriculture was regarded by many young people as a last resort, an occupation for those who could not secure formal employment. However, in Vihiga County a new generation of young agripreneurs is changing that perception by embracing farming as a profitable business driven by innovation, technology and value addition. From indigenous vegetable...
read morekenyanews.go.ke
@kna Thu, 09 Jul 2026 08:22:06
Tourism peak season raises hope for Diani seafood businesses, amid rising costs
Seafood businesses in Diani are banking on increased tourist arrivals during the upcoming peak tourism season to cushion them against rising operating costs that have squeezed profit margins over the past several months. Private seafood chef Kyarie Njiraini says the hospitality industry continues to face mounting expenses driven by higher fuel prices, electricity costs and...
read morekenyans.co.ke
@kenyans Thu, 09 Jul 2026 07:58:47
Treasury Explains Why It Scrapped Original Rironi–Mau Summit Highway Deal
Motorists using the 139-kilometre highway will incur a cost of up to Ksh8 per kilometre once the road becomes operational, a result of the new PPP modedl by the ministry.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:56:43
Linda Mwananchi accuses government of political violence, vote buying ahead of 2027 polls
Opposition movement Linda Mwananchi has accused President William Ruto's administration of escalating political violence, undermining democratic institutions and attempting to influence upcoming elections through state resources, while declaring that the coalition will continue its campaign ahead of the 2027 General Election. In a statement issued following the 36th anniversary of the Saba Saba movement, the [...] The post Linda Mwananchi accuses government of political violence, vote buying ahead of 2027 polls appeared first on Kahawatungu.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Thu, 09 Jul 2026 07:39:11
Why election hopefuls could soon pay IEBC nomination fees via Mpesa
The committee is proposing that the commission introduce additional payment options, including a dedicated Paybill number, to make it easier and more convenient for candidates.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Thu, 09 Jul 2026 07:51:47
Linda Mwananchi Sounds Alarm Ahead of Ol Kalou By-Election
Linda Mwananchi spokesperson and Suba South MP Caroli Omondi has raised fresh concerns over the Ol Kalou by-election, claiming unusual activities in the constituency point to an attempt to sway voters before they cast their ballots.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:22:27
Farage left figthing a trash can as the UK populist leader's election gamble backfires
A political gamble looks like it has spectacularly backfired. When British right-wing populist leader Nigel Farage announced he was resigning as a lawmaker and triggering a special election in the face of a swirl of allegations over personal financing, he sought the high ground, declaring that the "judges of my actions" should be his constituents. [...] The post Farage left figthing a trash can as the UK populist leader's election gamble backfires appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:24:00
KCB, Mastercard Roll out Islamic Finance Payments Solution
KCB Bank has partnered with Mastercard to deploy an Islamic finance payments solution for customers under the Sahl Banking offering. The Bank has rolled Sahl Card to give customers a convenient and secure, platform to manage their spending while accessing exclusive lifestyle and travel benefits. Additionally, KCB has unveiled the Sahl Agency banking network which [...] The post KCB, Mastercard Roll out Islamic Finance Payments Solution appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:28:39
Bonnie Tyler, known for hit song 'Total Eclipse of the Heart,' dies age 75
Welsh singer Bonnie Tyler, known for hits such as "Total Eclipse of the Heart," has died at the age of 75, according to a statement on her website and Instagram account. Her death comes a few months after the pop star, whose legal name is Gaynor Hopkins, underwent emergency surgery and was put into an [...] The post Bonnie Tyler, known for hit song 'Total Eclipse of the Heart,' dies age 75 appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:30:18
Christian Pulisic Siblings: Meet Devyn and Chase Pulisic
Christian Pulisic is an American professional soccer player widely regarded as one of the greatest talents to emerge from the United States. Born on September 18, 1998, in Hershey, Pennsylvania, he plays as a winger, attacking midfielder, or forward for Serie A club AC Milan and captains the United States mens national team. Nicknamed Captain [...] The post Christian Pulisic Siblings: Meet Devyn and Chase Pulisic appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:33:44
Giovanni Reyna Siblings: Meet the Siblings Squad Behind the Soccer Player
Giovanni Alejandro Reyna, commonly known as Gio Reyna, is an American professional soccer player who serves as an attacking midfielder. Born on November 13, 2002, in Sunderland, England, he plays for Borussia Mönchengladbach in the Bundesliga and represents the United States mens national team. The son of former U.S. national team players Claudio Reyna and [...] The post Giovanni Reyna Siblings: Meet the Siblings Squad Behind the Soccer Player appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:37:00
Kalonzo mourns Abubakar Zein as patriot, constitution architect and trusted Adviser
Wiper Democratic Movement leader Kalonzo Musyoka paid an emotional tribute to former East African Legislative Assembly (EALA) member Abubakar Zein Abubakar, describing him as a courageous patriot, trusted confidant and one of the architects of Kenya's 2010 Constitution. In a heartfelt condolence message following Zein's death on Thursday, Kalonzo said the country had lost a [...] The post Kalonzo mourns Abubakar Zein as patriot, constitution architect and trusted Adviser appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:43:42
Lawyer Ndegwa Njiru freed after DPP declines to approve obstruction charge
Lawyer Ndegwa Njiru was Thursday released after the intended obstruction charge against him failed to proceed in court following confirmation that the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) had not approved any charges. Njiru had been arrested earlier on Thursday morning over an alleged obstruction offense. The prosecution informed him and his lawyers [...] The post Lawyer Ndegwa Njiru freed after DPP declines to approve obstruction charge appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:48:34
U.S. commits Sh1.9 billion to boost Kenya's ebola preparedness
The United States has committed $14.5 million (approximately Sh1.9 billion) to strengthen Kenya's preparedness for Ebola Virus Disease (EVD), reinforcing the country's capacity to prevent, detect and respond to potential outbreaks. The funding will support the Government of Kenya, county governments and public health partners in enhancing disease surveillance, laboratory systems, healthcare worker training, emergency [...] The post U.S. commits Sh1.9 billion to boost Kenya's ebola preparedness appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 07:50:35
IEBC warns of possible postponement of Ol Kalou by-election over rising violence, bribery
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has warned that it could postpone or cancel the July 16, 2026, Ol Kalou parliamentary by-election if escalating violence and electoral offences threaten the credibility of the poll. Speaking on Thursday, IEBC Chairperson Erastus Ethekon said the commission was fully prepared to conduct the by-election but had deployed [...] The post IEBC warns of possible postponement of Ol Kalou by-election over rising violence, bribery appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Thu, 09 Jul 2026 07:25:24
Utafiti kuonyesha sababu zinazowafanya wanaume kufa mapema kuliko wanawake.
WANASAYANSI wameibuka na sababu kadhaa ambazo zinasababisha wanaume kufa mapema kuliko wanawake hasa yakiegemea maradhi na mtindo wa maisha. Wanawake huishi kwa miaka mingi kuliko wanaume kwa mujibu wa tafiti ambazo zimefanywa hapo awali. Kwa mfano Amerika, nchi ambayo imeendelea na ina sekta ya afya iliyoimarika ya kiafya, wanaume wengi huishi hadi miaka 76 huku wanawake wakifika miaka 81 na hata zaidi. Kwa muda sasa wanasayansi wamekuwa wakifuatilia nini husababisha hali hiyo na ikabainika kuwa magonjwa ya moyo huwaathiri wanaume wengi kuliko wanawake. Pia wanaume wanaweza kuathiriwa na unene kupita kiasi kuliko wanawake. Awali kulikuwa na dhana kuwa wanaume walikuwa wakiaga japo wana afya imara kuliko wanawake. Hii ni kwa sababu ilidhaniwa kuwa wanawake walikuwa wakifikiriwa walikuwa wakiandamwa na magonjwa yanayotokana na msongo wa mawazo. Hata hivyo, imebainika kuwa huu ni uongo na afya ya wanaume hutegemea sana mtindo wa maisha pamoja na maslahi au maisha ya kijamii. "Ni bayolojia na tabia. Tatizo ni kwamba wanaume wanasubiri ugonjwa uwalemee kabla ya kuenda hospitalini na hawamakinikii matibabu au vipimo vya kugundua maradhi mapema," akasema Mtaalamu wa Afya Dkt David Shusterman akizungumza na jarida New York Post. "Wanasubiri mpaka jambo liende mrama," Tafiti za nyuma zimeonyesha wanaume afadhali waishi kwa kutojua maradhi yanayowasibu kama kansa badala ya kupitia vipimo vinavyogundua maradhi sugu kama hayo. Kwa mujibu wa Shusterman, wanaume ambao wameoa wanaishi kwa miaka miwili zaidi kuliko wasiokuwa kwenye ndoa. "Mke anaweza kugundua mabadiliko ya kiafya ambayo mwanaume huyapuuza. Wanawake mara nyingi huwasukuma wanaume waende wapimwe na hii huwasaidia," akasema Shusterman. "Wanaume ambao hawajaoa wanaweza kufanya vizuri iwapo watamakinikia afya yao. Hoja si ndoa pekee yake bali ni uwajibikaji, kupimwa mara kwa mara na kutosubiri tatizo litokee," Aina mbalimbali za saratani, magonjwa ya moyo na unene kupita kiasi ni baadhi ya magonjwa mwanaume akimakinikia kufahamu hali yake, basi ataishi kwa miaka mingi.
read moreRight Column Content