taifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Sun, 19 Jul 2026 12:40:33
Fedha za kilimo zinufaishe wakulima wa mashamba madogo
MASHIRIKA ya kifedha yamehimizwa kubuni upya huduma za ufadhili wa kilimo ili ziambatane na hali halisi ya wakulima, vijana, wanawake wajasiriamali na masoko ya chakula badala ya kuzingatia utoaji wa mikopo pekee. Wito huo ulitolewa wakati wa mkutano wa Financing Agri-Food Systems Sustainably (FINAS) 2026 uliofanyika Nairobi chini ya kaulimbiu "Towards Sustainable Financial Architecture for Africa's Food Systems." Mkutano huo ulileta pamoja serikali, taasisi za kifedha, washirika wa maendeleo na wadau wa kilimo kujadili mbinu za kuwekeza katika mifumo imara ya chakula. Mkurugenzi Mkuu wa Heifer International Kenya, Wairimu Munyinyi-Wahome, alisema huduma za kifedha zinapaswa kuzingatia misimu ya uzalishaji, uwezo wa biashara, fursa za masoko na hatari zinazowakabili wakulima. [caption id="attachment_190271" align="aligncenter" width="300"] Mkurugenzi Mkuu wa Heifer International Kenya, Wairimu Munyinyi-Wahome akizungumza jijini Nairobi. Picha|Sammy Waweru[/caption] "Kwa muda mrefu tumekuwa tukihoji kama wakulima wanafaa kupewa mikopo. Swali muhimu ni kama mifumo yetu ya kifedha iliundwa kuambatana na uhalisia wa kilimo," alisema. Aliongeza kuwa mfumo bora wa kifedha unapaswa kuendana na kilimo, badala ya kulazimisha wakulima kufuata masharti magumu kama dhamana, ratiba zisizobadilika za malipo ya mikopo na historia rasmi ya mikopo. Kwenye kongamano na FINAS 2026, Heifer ilieleza kuwa imejikita katika kuunganisha ufadhili na ujuzi, kuongeza uzalishaji, kuimarisha usawa wa kijinsia katika huduma za kifedha na kusaidia vijana pamoja na wakulima wadogo kupata uwekezaji wa kibiashara. Mkurugenzi Mkuu wa Heifer Rwanda, Verena Ruzibuka, alisema ubunifu mwingi unaoanzishwa na vijana unahitaji msaada zaidi ili kukua na kuwa biashara zinazowanufaisha wakulima. "Mpango wa AYuTe Africa NextGen unaowapa wabunifu wa teknolojia za kilimo ufadhili, mafunzo, ushauri na masoko, umeonyesha jinsi ya kufadhili wakulima," alitaja. [caption id="attachment_190274" align="aligncenter" width="300"] Baadhi ya wakulima walionufaika mwaka huu 2026 kupitia mpango wa AYuTE wa Heifer Kenya ambao hulenga kupiga jeki vijana wenye bunifu mbalimbali za kilimo. Picha|Sammy Waweru[/caption] Mkurugenzi wa Ubunifu wa Fedha wa Heifer Afrika, Wangui Muna, alisema matumizi ya teknolojia na takwimu sahihi yatapunguza hatari za utoaji wa mikopo na kuongeza upatikanaji wa bidhaa za kifedha zinazofaa sekta ya kilimo. Mkutano huo pia ulitumika kuzindua Agricultural Finance Technical Working Group, kundi la kiufundi la fedha litakalosaidia kuimarisha sera na kanuni za ufadhili wa kilimo kwa kutumia ushahidi wa kisayansi. Aidha, kundi hilo linaongozwa na Kenya Bankers Association kwa ushirikiano na GIZ, FSD Kenya, Africa Guarantee Fund, Heifer International na Aceli Africa. Mkurugenzi wa Sera wa Aceli Africa, Titianne Donde, alisema taarifa na takwimu zilizopo zinapaswa kutafsiriwa kuwa sera zitakazochochea uwekezaji katika kilimo. [caption id="attachment_190275" align="aligncenter" width="300"] Heifer Interntanional inahimiza mashirika ya kifedha kubuni upya huduma za ufadhili wa kilimo ili ziambatane na hali halisi ya wakulima, vijana, wanawake wajasiriamali na masoko ya chakula badala ya kuzingatia utoaji wa mikopo pekee. Wengi wa wanaokuza kabichi ni wakulima wa mashamba madogo hivyo basi wanahitaji kupigwa jeki kifedha. Picha|Sammy Waweru[/caption] Kulingana na Wairimu Munyinyi-Wahome, Heifer itaendelea kushirikiana na wadau kubuni mifumo ya kifedha itakayowawezesha wakulima, vyama vya ushirika, wanawake na vijana kujenga biashara imara na endelevu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 11:23:40
Chinese firm seeks compensation over British Steel nationalisation
The former owner of British Steel has said it will pursue the British government for compensation after the loss-making firm was nationalised. The UK took control of the Scunthorpe steelworks a year ago after Chinas Jingye Group said it planned to close the site because it was not financially viable, and fully nationalised the plant [...] The post Chinese firm seeks compensation over British Steel nationalisation appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 11:04:18
Health officials identify source of US explosive diarrhoea outbreak
A sample of iceberg lettuce from the food supplier Taylor Farms has tested positive for the parasite that caused an explosive diarrhoea outbreak affecting thousands of people in the US, officials said. The Food and Drug Administration (FDA) said that Taylor Farms, which supplies the Taco Bell food chain, had confirmed the sample was taken [...] The post Health officials identify source of US explosive diarrhoea outbreak appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 11:08:34
Antonelli wins to extend lead after Russell crashes out
Mercedes Kimi Antonelli re-established the comfortable championship lead that had been eroded in the past three races with victory in the Belgian Grand Prix while team-mate George Russell crashed out. The Italian fought back from losing position during a virtual safety-car period to catch and pass Ferraris Charles Leclerc for his sixth win in 10 [...] The post Antonelli wins to extend lead after Russell crashes out appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 11:12:22
Shriever wins historic fourth BMX world title
Britains Beth Shriever has become the first BMX racer to win four elite world titles as extreme weather curtailed the UCI BMX Racing World Championships in Brisbane. After persistent strong winds delayed the start of the race in the Australian city, the UCI was forced to abandon the event and take results from the first [...] The post Shriever wins historic fourth BMX world title appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 11:15:50
Messi on the brink of history – will it be his last World Cup game?
Argentina are one win away from sporting immortality. Lionel Scalonis side are bidding to become just the third team to win successive World Cups, after Italy (1934 and 1938) and Brazil (1958 and 1962). If they are to pip European champions Spain to the crown, they will need Lionel Messi to be at his best. [...] The post Messi on the brink of history will it be his last World Cup game? appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 11:18:28
'Legend' or 'regrets'? A final that will define Lamine Yamal's World Cup
When asked if Spain would win the World Cup, Lamine Yamal simply smiled and said yes. His words to American broadcaster CBS in the build-up would have come as a surprise to no-one who has seen the confident teenager become one of the best players on the planet. For many though, for his prediction to [...] The post Legend or regrets? A final that will define Lamine Yamals World Cup appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 11:21:17
The 1975's Matty Healy marries model Gabbriette Bechtel in Los Angeles
The 1975s frontman Matty Healy and model Gabriette Bechtel have tied the knot in Los Angeles. The couple announced their engagement in 2024, after dating for nine months, and got married on Saturday. A statement shared from the couples representatives said the pair were married at a private ceremony in Los Angeles, attended by their [...] The post The 1975s Matty Healy marries model Gabbriette Bechtel in Los Angeles appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Sun, 19 Jul 2026 09:00:42
Kanuni zinazokwamisha ubunifu wa kilimo Afrika
AFRIKA haina upungufu wa teknolojia za kilimo zinazoweza kusaidia wakulima kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Kuanzia mbegu za mahindi zinazostahimili ukame, ngano inayovumilia joto kali, mifugo bora hadi teknolojia za kidijitali zinazosaidia kufanya maamuzi ya kilimo, watafiti tayari wamebuni suluhu nyingi za kuongeza uzalishaji wa chakula. Hata hivyo, wataalamu wanasema changamoto kubwa si ukosefu wa teknolojia bali ni mifumo ya udhibiti inayochelewesha usambazaji wake kati ya nchi za Afrika, hali inayonyima mamilioni ya wakulima fursa ya kupata kwa wakati ufaao suluhu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Wakizungumza katika mkutano wa DialogueNEXT Africa ulioandaliwa na World Food Prize Foundation jijini Nairobi, wataalamu wa sayansi, watunga sera na viongozi wa sekta ya kilimo walisema kanuni zilizopitwa na wakati zimekuwa kikwazo kikubwa kwa usalama wa chakula na juhudi za kukabiliana na tabianchi. Mshindi wa World Food Prize mwaka 2017 na rais wa zamani wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt Akinwumi Adesina, alisema Afrika haiwezi kuendelea kuchelewesha matumizi ya teknolojia ambazo tayari zimethibitishwa kufanya kazi. "Tatizo si ukosefu wa teknolojia. Tunajua kinachofanya kazi. Changamoto ni ukosefu wa kuungwa mkono na ulingo wa kisiasa ambao hutunga sheria na mifumo ya udhibiti inayochelewesha kuwafikishia wakulima teknolojia hizo," alisema. Alieleza kuwa nchi nyingi hulazimisha aina mpya za mazao kufanyiwa majaribio kwa miaka kadhaa kabla ya kuruhusiwa kulimwa kibiashara. Mara nyingi majaribio hayo hurudiwa katika nchi jirani hata kama zina mazingira yanayofanana. Kulingana na Dkt Adesina, teknolojia zinapaswa kuidhinishwa kulingana na maeneo ya kiikolojia badala ya mipaka ya kisiasa. "Ukame hausafiri kwa pasipoti, wadudu waharibifu hawahitaji visa, na mabadiliko ya tabianchi hayaheshimu mipaka ya nchi. Kanuni zetu zinapaswa kutambua ukweli huo," alisema. [caption id="attachment_190266" align="aligncenter" width="300"] Baadhi ya wadau kutoka sekta ya kilimo wakati wa mkutano wa DialogueNEXT Africa ulioandaliwa na World Food Prize Foundation jijini Nairobi. Picha|Sammy Waweru[/caption] Aliongeza kuwa Afrika hupoteza karibu Dola 7 bilioni (sawa na Sh906 bilioni thamani ya Kenya) kila mwaka kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi, kiwango kinachotarajiwa kuongezeka hadi Dola 50 bilioni (sawa Sh6.47 trilioni thamani ya Kenya) ifikapo mwaka 2050 iwapo hatua za kukabiliana nazo hazitaharakishwa. Alieleza kuwa teknolojia kama vile mbegu zinazostahimili ukame, ngano inayostahimili kiwango cha joto cha juu, mifumo ya kidijitali ya ushauri wa hali ya hewa na bima ya mazao, tayari zinasaidia kupunguza hasara kwa wakulima. Hata hivyo, ukumbatiaji wa matumizi ya bima ya mazao na mifugo nchini Kenya bado uko chini ya asilimia moja. Aidha, alisema soko la kilimo Afrika linatarajiwa kufikia Dola 1 trilioni (sawa Sh129.5 trilioni za Kenya) ifikapo mwaka 2030. "Matajiri wakubwa wa baadaye Afrika watatoka katika sekta ya kilimo kwa sababu kila mtu anahitaji chakula," Dkt Adesina alisema. Naye Profesa Ruth Oniang'o, mtaalamu wa masuala ya kilimo na lishe, alisema teknolojia nyingi haziwafikii wakulima wadogo kwa sababu ya mifumo dhaifu ya usambazaji, uwekezaji mdogo na mawasiliano hafifu kati ya watafiti, maafisa wa nyanjani na wakulima. [caption id="attachment_190267" align="aligncenter" width="300"] Prof Ruth Oniang'o na mwasisi wa African Journal of Food, Agriculture, Nutrition and Development, akizungumza wakati wa DialogueNEXT Africa ulioandaliwa na World Food Prize Foundation jijini Nairobi. Picha|Sammy Waweru[/caption] "Sayansi inapaswa kuelezwa kwa lugha rahisi ili wakulima waweze kuielewa na kuitumia," Prof Ruth alisema, akionya kuwa usalama wa chakula haupaswi kupimwa kwa uzalishaji pekee bali pia kwa ubora, usalama na lishe ya chakula. Alitaja tatizo la sumu kuvu (aflatoxin) kwenye mahindi nchini Kenya kama mfano wa changamoto zinazoweza kudhibitiwa kupitia matumizi ya teknolojia bora. Washiriki wa mkutano huo wa DialogueNEXT Africa walionya kuwa bila kuondoa vikwazo visivyo vya lazima katika kanuni za udhibiti na kukumbatia bioteknolojia pamoja na ubunifu mwingine wa kisayansi, Afrika itapoteza fursa muhimu ya kuimarisha usalama wa chakula, kuongeza ustahimilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na kukuza uchumi kupitia kilimo.
read morekenyanews.go.ke
@kna Sun, 19 Jul 2026 07:59:26
Archbishop warns youth against political exploitation and violent gangs
The Archbishop of Nairobi, Most Rev. Philip Anyolo, has warned young people against being manipulated by unscrupulous leaders to participate in violence, saying such actions threaten the country's peace and future. Archbishop Anyolo discouraged the youth from being lured by financial handouts, saying temporary gains cannot provide meaningful solutions to their challenges or help them...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sun, 19 Jul 2026 08:01:58
Over 20 teams set for action-packed Prinsloo Sevens Championship
More than 20 teams are set to battle for honours during the 17th edition of the National 7s Prinsloo Sevens Championships scheduled for Nakuru Athletics Club (NAC) next weekend. The tournament, which returns to Nakuru for the 13th time, will mark the opening leg of the 2026 SportPesa National Sevens Circuit, with rugby fans expected...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sun, 19 Jul 2026 08:04:01
Uasin Gishu launches football tournament to nurture youth talent
Uasin Gishu Governor Jonathan Bii has called for increased investment in grassroots sports, saying nurturing young talent is essential in combating drug and substance abuse among youth while creating opportunities for economic empowerment. Speaking on Saturday during the launch of the Governor Chelilim Mens Football Tournament at Naiberi Primary School grounds in Ainabkoi Sub-County, Bii...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sun, 19 Jul 2026 08:06:54
Koskei calls for shift to high-value crops to transform Mt Elgon economy
Chief of Staff and Head of Public Service Felix Koskei has challenged farmers in Mt. Elgon to abandon overreliance on traditional food crops and embrace high-value cash crops, saying the shift is key to unlocking the regions vast economic potential. Koskei said despite the regions fertile volcanic soils and favourable climate, many households continue to...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sun, 19 Jul 2026 07:25:49
Government urges Tana River communities to surrender illegal firearms
The government has renewed calls on feuding communities in Tana River County to voluntarily surrender all illegally held firearms before the expiry of an ongoing amnesty period and the commencement of a planned disarmament operation. The Ministry of Interior issued a 60-day amnesty period more than a month ago, giving residents in the conflict-prone county...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sun, 19 Jul 2026 07:51:14
Marsabit khat women traders receive Sh13.5 million business boost
Khat (miraa) women traders in Marsabit County have received a Sh13.5 million financial boost to expand their businesses and access affordable credit through a cooperative society. The funds were raised during a fundraiser presided over by Marsabit Governor Mohamud Ali at Marsabit Stadium, where he urged the beneficiaries to embrace financial discipline and use the...
read moreRight Column Content