kenyanews.go.ke
@kna Sat, 18 Jul 2026 07:09:50
New epilepsy clinic opened in Kajiado
A new specialized epilepsy clinic has been opened at the AIC Child Care Centre in Kajiado County, offering renewed hope to people living with the condition through improved access to treatment, medical support and awareness services. The facility, established through a partnership between the Kenya Association for the Welfare of People with Epilepsy (KAWE), the...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sat, 18 Jul 2026 07:14:57
Free medical camp targets over 6,000 Butula residents
More than 6,000 residents of Butula Sub-county are expected to benefit from a free medical camp launched at Ikonzo Dispensary by an aspiring politician, Daniel Sitawa, in partnership with Maseno Mission Hospital. The medical camp will run across the Sub County, with leaders and health workers citing poverty, inadequate medical supplies, and limited equipment as...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sat, 18 Jul 2026 07:17:23
Road upgrade to boost connectivity in Kikuyu Constituency
Residents of Kikuyu Constituency are set to benefit from improved transport and easier access to essential services following the commissioning of the upgrading of the Ngong (Kibiku)–Kangiria Road, a project expected to enhance connectivity and stimulate socio-economic development in the area. The road improvement programme covers the Gwa-Thiru–Munyeki–Riu Nderi–Kibiku Road as well as the Musa...
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 18 Jul 2026 06:53:19
Govt says no sensitive data compromised in cyberattack on President's website
The Government has assured Kenyans that no sensitive data was accessed or lost following the cyberattack that compromised the official website of the President. In a statement on Saturday, Information, Communications and the Digital Economy Cabinet Secretary William Kabogo said the Government was aware of the cybersecurity incident affecting president.go.ke and had immediately activated its [...] The post Govt says no sensitive data compromised in cyberattack on Presidents website appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Sat, 18 Jul 2026 07:16:34
Wadukuzi wavuruga tovuti rasmi ya Rais Ruto, wadai Sh41 milioni za Bitcoin
SERIKALI jana ililazimika kuzima tovuti rasmi ya Rais William Ruto baada ya wadukuzi kuivamia na kuweka ujumbe wa vitisho pamoja na kudai walipwe Bitcoin tano, za thamani ya takriban Sh41.3 milioni. Wakenya waliojaribu kufungua tovuti ya president.go.ke Jumamosi walikuta maudhui ya kawaida yameondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na ujumbe uliomlenga Rais Ruto. Wadukuzi hao walidai kuwa watafichua taarifa ambazo hawakuzitaja iwapo hawangelipwa fedha hizo. "Huu ni ujumbe wa tatu kwako kabla hatujafichua kila kitu kukuhusu. Lipa Bitcoin tano kwenye pochi hii ya Bitcoin ikiwa unataka amani kabla ya saa kumi na mbili jioni," ulisema ujumbe huo. Pia waliweka anwani ya pochi ya Bitcoin na kutaja majina ya watu watatu. Muda mfupi baadaye, tovuti hiyo ilizimwa na kuwekwa ujumbe unaosema ilikuwa ikifanyiwa matengenezo. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Kidijitali, William Kabogo, alithibitisha shambulio hilo na kusema Mamlaka ya ICT ilianzisha mara moja utaratibu wa kukabiliana na tukio hilo. "Baada ya kugundua shambulio hilo, Mamlaka ya ICT ilianzisha taratibu zilizowekwa za kushughulikia matukio ya usalama wa mtandao," alisema Kabogo. Alisema tovuti hiyo ilisitishwa kwa muda ili kuruhusu uchunguzi wa kitaalamu, kudhibiti athari za shambulio na kurejesha huduma. Kabogo alisema hatua za kukabiliana na tatizo hilo tayari zilichukuliwa na kazi ya kurejesha tovuti kuendelea. Aliongeza kuwa hadi sasa hakuna ushahidi unaoonyesha kuwa wadukuzi waliiba taarifa muhimu au kufikia data muhimu za serikali. "Hakuna ushahidi wa mtu asiyeidhinishwa kufikia taarifa muhimu, kuiba data au kupotea kwa taarifa. Mifumo ya serikali na huduma za kidijitali zinaendelea kufanya kazi kwa usalama," alisema. Aliongeza kuwa Mamlaka ya ICT inashirikiana na mashirika mengine ya serikali pamoja na wataalamu wa teknolojia kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha shambulio hilo. Iwapo serikali ingelipa kiasi kilichodaiwa, ingetoa karibu Sh41.3 milioni, kwa kuwa Bitcoin moja kwa sasa ina thamani ya takriban Sh8.27 milioni. Kufikia wakati wa kuchapishwa kwa habari hii, Mkuu wa Huduma ya Mawasiliano ya Rais Munyori Buku na Msemaji wa Ikulu Hussein Mohammed hawakuwa wamejibu simu wala ujumbe wa kutaka maoni yao kuhusu tukio hilo. Hili ni shambulio la pili kubwa dhidi ya mifumo ya serikali katika kipindi cha miezi michache. Mnamo Novemba 2025, wadukuzi walivuruga tovuti ya Rais pamoja na zile za Wizara za Usalama wa Ndani, Afya, Elimu, Kazi na Nishati. Pia walilenga Idara ya Uhamiaji, Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI), Hazina ya Hasla na Serikali ya Kaunti ya Nairobi. Baada ya mashambulizi hayo, Wizara ya Usalama wa Ndani ilisema yalitekelezwa na kundi lililojitambulisha kama PCP@Kenya. Mwaka 2023, mfumo wa eCitizen pia uliangushwa na wadukuzi, hali iliyokatiza zaidi ya huduma 5,000 za serikali kabla ya kurejeshwa. Serikali ilisema wakati huo kuwa hakuna taarifa za wananchi zilizovuja. Shambulio hili linajiri huku Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nancy Gathungu akiendelea kuonya kuhusu udhaifu wa mifumo ya ICT katika taasisi za umma. Katika ripoti zake za ukaguzi, Gathungu amesema taasisi nyingi za serikali hazina sera madhubuti za ICT, zina udhibiti hafifu wa mifumo, hazina mipango ya kuendelea kutoa huduma wakati wa dharura na zina mapungufu katika usimamizi wa mifumo ya kidijitali. Alionya kuwa hali hiyo inaweza kuhatarisha shughuli za serikali na usalama wa taarifa muhimu za umma. Miongoni mwa mifumo iliyotajwa kuwa na mapungufu ni eCitizen, ambayo ilibainika kukosa sera iliyoidhinishwa ya ICT, mpango wa kuendelea na shughuli wakati wa dharura, kamati ya ICT na kituo mbadala cha kuhifadhi taarifa. Aidha, Mamlaka ya Mawasiliano Kenya (CA) imekuwa ikionya kuwa uelewa mdogo wa wafanyakazi kuhusu mashambulizi ya mtandaoni, pamoja na kuongezeka kwa mashambulizi yanayotumia Akili Unde (AI), kumeongeza hatari ya taasisi za umma kuvamiwa na wadukuzi.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 18 Jul 2026 06:30:02
Jenna Nighswonger Siblings: Getting to Know Erin Nighswonger
Jenna Gray Nighswonger is an American professional soccer player who plays as a left-back for Arsenal in the Womens Super League and represents the United States womens national team. Born on November 28, 2000, in Huntington Beach, California, she has quickly risen to prominence as a versatile and dynamic defender capable of contributing effectively in [...] The post Jenna Nighswonger Siblings: Getting to Know Erin Nighswonger appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Sat, 18 Jul 2026 06:27:44
Chama chazinduliwa kulinda haki za wafanyakazi katika miradi ya kilimo
CHAMA kipya cha kitaaluma kimezinduliwa nchini ili kuimarisha ulinzi wa haki za kibinadamu za wafanyakazi na jamii zinazoathiriwa kwenye miradi ya kilimo na maendeleo, wasiwasi ukishamiri kuhusu ukiukaji wa haki za wafanyakazi, migogoro ya ardhi na ulegevu wa ulinzi wa kijamii. Social Impact Management Association of Kenya (SIMAK), ni muungano utakaowakutanisha wataalamu wanaohakikisha miradi ya maendeleo, hususan katika kilimo na miundombinu, inazingatia haki za kibinadamu na kushirikisha jamii zinazoathirika. Kaimu Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Edward Ontita, akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi jijini Nairobi alisema lengo ni kuhakikisha kila mradi mkubwa unakuwa na maafisa wa usimamizi wa kijamii kuanzia hatua ya kupanga hadi kukamilika. "Tunataka viwango endelevu vizingatiwe katika miradi yote ya maendeleo. Maendeleo yanawahusu watu, hivyo haki zao lazima zilindwe," akasema. [caption id="attachment_190228" align="aligncenter" width="300"] Kaimu Mwenyekiti wa Social Impact Management Association of Kenya (SIMAK), Profesa Edward Ontita (kulia) akikabidhi mmoja wa wanachama wa muungano huo cheti cha kuwa memba. Picha|Sammy Waweru[/caption] Prof Ontita alisema mashamba makubwa ya kilimo ni miongoni mwa sekta zilizoathirika zaidi na ukatili wa kijinsia, unyanyasaji wa kingono, mishahara duni na mazingira mabaya ya kazi. "Baadhi ya wafanyakazi hulipwa chini ya kiwango cha chini cha mshahara kilichowekwa kisheria, huku wengine wakikosa maji safi, vyoo bora na uhuru wa kujiunga na vyama vya wafanyakazi. Hizi ni haki za msingi za binadamu," alisema. Aliongeza kuwa jamii zinapaswa kushirikishwa kuanzia hatua za kwanza, hasa katika miradi inayohusisha ununuzi wa ardhi na ulipaji wa fidia. Aidha, alisema miradi ya mikopo ya kaboni na uhifadhi wa bioanuwai inapaswa kushirikisha wananchi kikamilifu ili wanufaike. "Kutofuata masharti ya ulinzi wa kijamii husababisha ucheleweshaji wa miradi na hasara ambazo tumefanya hesabu zinafika Sh600 bilioni" Ontita alionya. [caption id="attachment_190230" align="aligncenter" width="300"] Kaimu Mwenyekiti wa Social Impact Management Association of Kenya (SIMAK), Profesa Edward Ontita wakati wa mahojiano jijini Nairobi mnamo Juni 26, 2026. Picha|Sammy Waweru[/caption] Kwa upande wake, Kaimu Karani katika Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Wizara ya Ulinzi wa Jamii na Masuala ya Wazee, Dkt Lynett Ochuma, alisema serikali inaandaa sera ya kitaifa ya kusimamia hatari zinazokumba jamii ili kuoanisha sekta hiyo na viwango vya kimataifa huku ikizingatia mazingira ya wafanyakazi nchini Kenya. Alisema sera hiyo itashughulikia haki za wafanyakazi, afya na usalama wa jamii, kuzuia unyanyasaji wa kingono, kulinda makundi yaliyotengwa na kuhakikisha ununuzi wa ardhi na uhamishaji wa watu unafanyika kwa haki. "Ushirikishwaji wa wadau ni msingi wa maendeleo. Maendeleo hayapaswi kudhuru jamii bali yanapaswa kuwa jumuishi," alisema, akiongeza kuwa sera hiyo itawasilishwa bungeni kama mswada baada ya kukamilika.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Sat, 18 Jul 2026 04:19:29
President Ruto's official website down in second suspected hack within a year
President William Rutos official website, president.go.ke, was down on Saturday after hackers allegedly took control of the homepage and replaced it with a ransom message.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 18 Jul 2026 06:16:19
Daphne van Domselaar Siblings: Get to Know Naomi van Domselaar
Daphne van Domselaar is a Dutch professional footballer born on March 6, 2000, in Beverwijk, Netherlands. She plays as a goalkeeper for Arsenal in the Womens Super League and is a key member of the Netherlands womens national team. She is known for her commanding presence in goal, strong shot-stopping abilities, distribution skills, and composure [...] The post Daphne van Domselaar Siblings: Get to Know Naomi van Domselaar appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 18 Jul 2026 06:22:24
Emily Fox Siblings: Meet Alex and Leslie Fox
Emily Ann Fox is an American professional soccer player born on July 5, 1998, in Ashburn, Virginia. She plays primarily as a right-back for Arsenal in the Womens Super League and for the United States womens national team. Fox is renowned for her exceptional speed, technical ability, defensive solidity, and versatility across the backline. She [...] The post Emily Fox Siblings: Meet Alex and Leslie Fox appeared first on Kahawatungu.
read morekenyanews.go.ke
@kna Sat, 18 Jul 2026 05:03:30
Murkomen says public participation key to security reforms
Interior and National Administration Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has reaffirmed the importance of public participation in strengthening governance, saying meaningful citizen engagement is essential in shaping reforms and safeguarding constitutional democracy. Speaking at the Trans Nzoia County Assembly in Kitale during the opening of the County Assembly Wellness and Committee Services Centre, Murkomen said public...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sat, 18 Jul 2026 05:07:05
Directorate reviews of public- private partnerships policy
The Directorate of Public-Private Partnerships (PPP), domiciled at the National Treasury and Economic Planning, has kicked off public participation forums to ensure community engagement, transparency, and stakeholder buy-in of its activities. The PPP Directorate is the technical arm of the PPP Committee at the National Treasury, mandated to facilitate, structure and manage infrastructure and development...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sat, 18 Jul 2026 05:11:37
West Pokot Set to host KICOSCA and KYISA Games
West Pokot County has set in motion preparations to host two of Kenyas biggest inter-county sporting events after delegates from across the country expressed satisfaction with the countys state of preparedness following a four-day inspection tour of sports facilities and accommodation venues. The delegation, comprising officials from the Kenya Inter-County Sports and Cultural Association (KICOSCA)...
read morekenyanews.go.ke
@kna Sat, 18 Jul 2026 05:15:54
Coastal residents urged to back government development agenda
Cabinet Secretaries Salim Mvurya (Youth Affairs, Creative Economy and Sports) and Hassan Joho (Mining, Blue Economy and Maritime Affairs) are actively urging residents in the coastal region to support the national development agenda. The two leaders emphasized the importance of community collaboration with the national government in driving sustainable economic activity, job creation, and the...
read moreRight Column Content