kahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 01:00:30
How to Buy a Takealot Voucher
Takealot Gift Vouchers are a convenient way to shop online or give someone the freedom to choose their own products. They are available in various denominations and can be purchased directly from the Takealot website. Once purchased, the voucher is delivered electronically and can be redeemed for eligible purchases on Takealot. Gift vouchers are valid [...] The post How to Buy a Takealot Voucher appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 00:55:23
Ruto kufungua rasmi kichinjio cha Sh1 bilioni kilichokamilika baada ya miaka 17
KICHINJIO cha kisasa mjini Isiolo cha thamani ya Sh1 bilioni kinatarajiwa kufunguliwa rasmi wiki ijayo, miaka 17 baada ya ujenzi wake kuanza. Kichinjio hicho kilifanyiwa majaribio ya kufanya kazi mnamo Ijumaa. Wakati wa majaribio hayo, ng'ombe, mbuzi na ngamia walichinjwa ili kupima ufaafu wa mashine na mifumo ya kisasa kabla ya uzinduzi wake unaotarajiwa kufanywa na Rais William Ruto. Mradi huo ulianza mnamo 2009, huku serikali ya Kaunti ya Isiolo ikichangia Sh538 milioni na serikali kuu ikitoa Sh451 milioni. Kichijio hicho kimejengwa kwenye ardhi ya ekari 500,000 na ina sehemu mbalimbali ambazo zitarahisisha na kuharakikisha shughuli za utayarishaji wa nyama. Afisa Mkuu wa Idara ya Mifugo katika Kaunti ya Isiolo, Godana Dida, alisema ng'ombe 300, ngamia 100 na kondoo pamoja na mbuzi 2,500 wanaweza kuchinjwa kila siku kwa muda wa saa nane. Msimamizi wa mradi huo, James Munyoki naye alisema kituo hicho kimejengwa kwa viwango vya kimataifa ili kuiwezesha Kenya kupanua mauzo ya nyama katika masoko ya nje. "Kichinjio cha Isiolo ni miongoni mwa kile cha kisasa zaidi katika Kusini mwa Afrika. Tumefuata miongozo ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na viwango vya kimataifa vya usalama na usafi wa nyama," akasema Bw Munyoki. Mtaalamu wa usimamizi wa majitaka, Dkt Lucy Murira, alisema kichinjio hicho kitakuwa kikisafishwa na kutumia tena zaidi ya lita milioni mbili za maji taka kila siku kupitia mfumo unaoondoa harufu mbaya. Hata hivyo, Bw Dida alisema uwezo wa kuchinja mifugo 3,000 kwa siku unamaanisha kuwa Isiolo pekee haiwezi kukidhi mahitaji ya mifugo. "Tunashirikiana na kaunti jirani kubaini maeneo ya usambazaji wa mifugo. Kwa ushirikiano wa kaunti za Kaskazini na maeneo jirani, tutatosheleza mahitaji ya kichinjio hicho," akasema. Kichinjio hicho kitategemea kaunti za wafugaji ambazo zina zaidi ya ng'ombe milioni tatu, kondoo na mbuzi milioni 12.9 na ngamia zaidi ya milioni tatu. Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji wa Isiolo, Mohamed Wario, alisema mradi huo utawapa wafugaji soko la uhakika na kufungua nafasi za uwekezaji katika uzalishaji wa malisho na maeneo ya kunenepesha mifugo.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 00:38:13
KCB, Equity and Co-operative Bank ranked among Africa's 25 strongest banks
Kenya has strengthened its position as East Africas leading financial hub after three of its banks were ranked among Africas 25 strongest lenders by capital in the latest The Banker Top 1,000 World Banks survey. The latest rankings placed KCB Group as East Africas best-capitalised bank after climbing 23 places globally to position 549. Equity [...] The post KCB, Equity and Co-operative Bank ranked among Africas 25 strongest banks appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 00:42:25
Tribunal suspends RBA directive on Standard Chartered pension claims pending appeal
The Retirement Benefits Appeals Tribunal has temporarily suspended a directive issued by the Retirement Benefits Authority (RBA) requiring the trustees of the Standard Chartered Kenya Pension Fund to reassess pension claims filed by hundreds of former members, pending the hearing and determination of an appeal. In interim orders issued on July 14, Tribunal Chairperson Charles [...] The post Tribunal suspends RBA directive on Standard Chartered pension claims pending appeal appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 23:49:32
Man arrested after wife dies following alleged assault in Homa Bay
Police in Rangwe, Homa Bay County, arrested a 27-year-old man over the death of his wife, who allegedly succumbed to injuries sustained during a domestic assault. The case was reported on Sunday by the mother of the deceased, Eunice Gesare Monantia, 24. Gesare had repeatedly informed her mother that she was being physically assaulted by [...] The post Man arrested after wife dies following alleged assault in Homa Bay appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 23:51:57
Nick Faldo Net Worth
Sir Nick Faldo is an English retired professional golfer, golf course designer, and television commentator with an estimated net worth of $60 million. Widely regarded as one of Britains greatest golfers, Faldo enjoyed a remarkable career during the 1980s and 1990s, winning six major championships and spending nearly two years as the worlds No. 1 [...] The post Nick Faldo Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 23:54:49
Toddler drowns in bucket outside family home in Meru
Police in Buuri West Sub-county, Meru County, are investigating the drowning of a one-year-three-month-old boy after he reportedly fell into a half-filled bucket outside his family's home. The incident was reported on Sunday afternoon by the child's mother, a resident of Mukuri in Timau. According to police, the toddler, is believed to have drowned after [...] The post Toddler drowns in bucket outside family home in Meru appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 23:58:35
Bernhard Langer Net Worth
Bernhard Langer is a German professional golfer with an estimated net worth of $25 million. Widely regarded as one of the greatest golfers in European history, Langer has enjoyed an extraordinary career spanning more than five decades. He is a two-time Masters champion, a World Golf Hall of Fame inductee, and the most successful player [...] The post Bernhard Langer Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 00:02:09
MP hopeful Birundu faults Jhanda over 'high-end cars' remark
Nyaribari Chache parliamentary hopeful Dr Joseph Birundu has criticised area MP Zaheer Jhanda over remarks linking his purchase of high-end vehicles to the poor state of roads in the constituency, saying the comments amount to an admission of failed leadership. Speaking to journalists at his Keumbu residence on Saturday, Dr Birundu said it was regrettable [...] The post MP hopeful Birundu faults Jhanda over 'high-end cars' remark appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 00:05:24
Ernie Els Net Worth
Ernie Els is a South African professional golfer with an estimated net worth of $85 million. Nicknamed The Big Easy for his smooth swing and relaxed demeanor, Els is regarded as one of the greatest golfers of his generation. During a career spanning more than three decades, he won four major championships, captured a record [...] The post Ernie Els Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content